Hongera mkuu.....ila naona uraisi si kazi nyepesi...umeezeka kwa kasi mkuu....! Pole bhana....hope unatamani tar 25 ifike haraka upumzike....!!! HBD MKUU!!
umeonaeee
Yaan .....si yule wa 2005 kazeeka sana....hasa ukizingatia anapata matunzo mazuri kabsa.....lakin dah!! Ila all in all...HBD !!
Hongera mkuu.....ila naona uraisi si kazi nyepesi...umeezeka kwa kasi mkuu....! Pole bhana....hope unatamani tar 25 ifike haraka upumzike....!!! HBD MKUU!!
Katika kisima ambacho mama yangu alikuwa anachota maji nikiwa na miaka 2 ndiyo hapo hapo maji yanachotwa tena sasa kwa shida,leo nina miaka 42,wanyama pori nao!.Namtakia maisha mafupi.
Ila kwenye makazi ungeweka angalizo, baada October 2015 yatakuwa Msoga!
Happy birthday Rais bora kabisa....