ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,487
- 88,627
Wewe ndio mpumbavu hakuna Cha maana unajuaSasa wewe pimbi ndiyo unajuwa kuliko mimi? Duh Tanzania ina mijitu mipumbavu sana. Hebu basi jaribu kuuliza google
Wewe ndio mpumbavu hakuna Cha maana unajuaSasa wewe pimbi ndiyo unajuwa kuliko mimi? Duh Tanzania ina mijitu mipumbavu sana. Hebu basi jaribu kuuliza google
Wewe hadhi yako ni mabasi tu huwezi kujua airport ilipo mbeya kama hadhi yako ni kudandia maloli. Uliza wanaopanda ndege mbeya wanapandia wapi?. Utajulishwa. Na kwa taarifa yako Mbeya ndio ina root nyingi za ndege kwa siku kutoka dar to mbeya. Inaweza ikawa sawa na Kwanza ama ikafuatia kwa mwanza. Sasa sijui unafikiri kwa root hizo zinatua wapi?Mbeya ndilo Jiji pekee Duniani lisilokuwa na Airport. Mbeya ni Kijiji kilichoumuka.
Dar es SalaamMimi naonaga Dar ndio ya aj
U,just imagine watu wanashindia utumbo na Mji unanuka Kila mahala.
Kariakoo kumejaa uchafu Kila sehemu Sasa sijajua huo u speaho wa Dar inayoongoza Kwa mabanda ni upi.
Wewe huishi kwenye hayo magorofa Bali mengi ni maofisi tena ya serikali ila mbakoishi huko Tandale kwenu ni uchafu mtupu..
Wewe huishi kwenye hayo magorofa Bali mengi ni maofisi tena ya serikali ila mbakoishi huko Tandale kwenu ni uchafu mtupu..
Bora naeishi Mbeya
View: https://www.instagram.com/reel/DWiaB8JjGft/?igsh=MW1pMnA1aGcyejByYg==
Kwani unasema hivyo? Upumbavu wangu ni upi?Wewe ndio mpumbavu hakuna Cha maana unajua
Ungejua Nairobi ilivyo na slums nyingi hata usingeandika ulichokiandikaHapo umechagua maeneo. Ambayo hata Dar maeneo ya hivyo huyakosi. Pia nikusaidie tu mfano ukitokea labda Dubai ndio unadondoka Dar. Dar inaonekana tu kama sehemu ya kakijiji fulani huko mbele. Achilia mbali Dubai hata utokee tu Nairobi hapo unaiona kabisa Dar ni vituko mtoto sana kwenye majengo mpaka barabara. Maana yangu kadiri unavyotoka chini kwenda juu kunafautiana kidogo kidogo,kuanzia majengo mpaka mandhali zingine.
Vituko vya mnaoishi Dar ukiambiwa tu picha unatafuta tu maghorofa ya posta. Maana yake sehemu nyingine hawaishi watu ni posta tu.
Maeneo ya hovyo Kwa Dar ni mengi kuliko Mkoa wowoteHapo umechagua maeneo. Ambayo hata Dar maeneo ya hivyo huyakosi. Pia nikusaidie tu mfano ukitokea labda Dubai ndio unadondoka Dar. Dar inaonekana tu kama sehemu ya kakijiji fulani huko mbele. Achilia mbali Dubai hata utokee tu Nairobi hapo unaiona kabisa Dar ni vituko mtoto sana kwenye majengo mpaka barabara. Maana yangu kadiri unavyotoka chini kwenda juu kunafautiana kidogo kidogo,kuanzia majengo mpaka mandhali zingine.
Vituko vya mnaoishi Dar ukiambiwa tu picha unatafuta tu maghorofa ya posta. Maana yake sehemu nyingine hawaishi watu ni posta tu.
Hizi nyumba ulizo post na kusema ni mbaya Kwa Mbeya,maskini wa Dar hawana.Sasa mkuu unadhani Mbeya ndio kuna nyumba nzuri kuliko Dar
Majority ya watu Mbeya wanaishi huku
Sasa hizi nimepiga mwenyewe kwa simu yangu
View attachment 3564958View attachment 3564961View attachment 3564962View attachment 3564963View attachment 3564964View attachment 3564959View attachment 3564958
View attachment 3564966View attachment 3564965
🤣🤣🤣"MATUMBO YAO YAMEJAA WANGA HATARII, SWALA LA BALANCE DIET KWAO NI NDOTO". Asee nimecheka sana mleta mada asee mbavu zang maamaee.
Maxence Melo asante kwa JF!
To yeye
Kmmk 🤣🤣Mbeya ndilo Jiji pekee Duniani lisilokuwa na Airport. Mbeya ni Kijiji kilichoumuka.
😁🤣🤣Hahhaa hotel zao nyingi za kulala chafu hapafu wahudumu wanakushangaa wewe unaeshangaa.
Kuna hotel ile ya Sokoni mwanjelwa ile gorofa na za pembeni mwake. Kidoogo GR Hotel.
Mbeya kila mwanamke baunsa 😀
Kaka unatokea mbeya nini !? 🤣Huu ni uongo labda unazolalaga wewe kulingana na kipato chako ila hotel na guest nyingi za Mbeya ni nzuri.
Kuhusu madem, hapa unaniandikoa kufurahisha genge bro ila kiukweli Mbeya kuna pisi kali sana bro.
Tujitahidi kuwa wakweli kwenye baadhi ya issue bro sio kukandia tu.
😁Pisi Mbeya...hahahahaaa.....zote Zina rangi mbili hadi 4. Uso rangi yake, vidole rangi yake, miguu rangi yake ....ukiona pisi, ni mgeni.
Daahh 🤣Kwamba vigezo vya TAMISEMI ni vigezo vya kimataifa! Tuseme ukweli, tunavumiliana tu na hizo standards za TAMISEMI...Mbeya ain't shit. Ni mvurugano TU. Sehemu chache sana Zina Hadhi. Kote walikoachiwa wananchi wafanye wenyewe ni patashika.
Umefikiwa ndio maana unatetea 😁Mwanza??? Itakuwa alifikia pembeni huko huyo😁😁😁
🤣🤣🤣 Yaani hakuna hata mmoja anaye iongelea mbeya vizuri mtoa mada ana hoja asikilizweReinforced....
Wakuu habari za muda huu?
Mada yangu inajikita kwenye Hali ya hewa ya mkoa wa Mbeya hasa Rungwe na Mbeya mjini.
Mkoa wa Mbeya kiufupi hauna kipindi Cha kilele Cha kumuacha mtu awe huru badala yake watu ni watumwa wa Hali ya hewa kuanzia January Hadi September kila mwaka.
A. Kuanzia January Hadi April - mvua za muda mrefu na manyunyu yasiyo na ukomo
Changamoto:- Tope, maji kutuama hovyo kutokana ubovu wa miundombinu maeneo mbali mbali kama vile Kabwe, Mwanjelwa, Ituha n. k
- kukosa uhuru wa matembezi na mazoezi hasa jogging
- kuvaa masweta, jacket na Makoti muda mwingi
B...
- Saguda47
- hali ya hewa mbeya
- Replies: 186
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Niko Mbeya, nimekuja kutembea mara moja, baada ya kuzisikia sifa nyingi sana za mkoa na jiji hili la Mbeya.
Daima huwa na utamaduni wa kufanya matembezi ya miguu ili niweze kuujua mji vizuri, haswa nikiwa mgeni katika mji huo.
Mbeya ni jiji lililojaa vumbi, barabara za lami ni chache sana. Mipango miji ni sifuri.
Mji uliopangika vizuri ni ule mji uliopangwa na wakoloni, maeneo ya Uzunguni, Uhindini, Soko Matola, Ghana na Majengo, zaidi ya hapo ni uchafu mtupu.
Pia soma: Mwanza City (Lake Zone Economic Powerhouse) vs Mbeya City (S/Highlands Economic Powerhouse)
Miji...
- TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
- dark green city mbeya mipango miji mbeya
- Replies: 57
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Hili Jiji la Mbeya sasa kila kona ya Mtaa limegeuka kuwa kama Dampo maana siyo kwa kutapakaa kwa takataka kiasi kingi, licha ya kutokea kwa ugonjwa wa Kipindupindu katika baadhi ya kata hivi karibuni lakini suala la usafi limebaki kitendawili.![]()
Halmashauri ya Jiji hawa watu wenu wa Suma JKT wamefeli hili zoezi la kuzoa taka maana inavyoonekana Wanamagari machache, hivyo kusababisha kushindwa kupita karibia kila mtaa kwa wakati.
Ukipita mitaa ya Mwanjelwa, Soweto, Mwambene, Kabwe, Isanga, Uyole na mingine mingi utaona namna taka zilivyotapakaa mitaani.
Pamoja na hivyo...
- Mwanongwa
- jiji la mbeya taka mbeya uzoaji taka
- Replies: 9
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
Hivi ni nani alitoa wazo la kupafanya Stendi ya Daladala ya Kabwe kila ikifika jioni kupageuza Soko?
Moja hili eneo ni chafu kupita maelezo na Wafanyabiashara wamejianzishia Dampo hapohapo.
Yaani huku taka zimejaa lakini pembeni yake unaona mama anaendelea na kuuza Samaki, Matunda, Mboga Mboga n.k.
Maafisa wa Afya wale 'Mabwana Afya' mmetulia kimya kana kwamba hamuoni kinachoendelea maeneo hayo au mpaka Watu waugue kipindupindu ndiyo mtapazuia.
Ukiachana na uchafu pia ikifika jioni Daladala zinapata shida sababu stendi inakuwa imebanwa na Wafanyabiashara, hivyo kusababisha kero...
- Mwanongwa
- kabwe mbeya soko
- Replies: 40
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
😁😁😁Tanzania Jiji ni Dar, Mwanza kidogo na Arusha. Kwingine huko ni status ya jiji lln uhalisia ni Vijiji tu.
Umenjchekesha kitu, kwamba mtu anaweka taa za kusense usiku, Sijui wana opt kuserve umeme au nn