sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,168
Yan huu wivu aisee... Bro.. Wacha Wivu.. Watu na Passion za Kazi zao.. We kama huependi kazi yako kavunje mawe aisee..Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani, unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?
Naona hukutaka kuremba, ukaamua kumpa za uso!Acha ushamba kuna habari gani ambazo huzipati kwenye social media mpaka usubiri taarifa ya habari saa 2 usiku au na wewe umekuwa mtoto? badilika broo.
Mimi tv yangu toka 2015 kipindi cha kampeni sijawahi kuiwasha tena.Naona hukutaka kuremba, ukaamua kumpa za uso!
Igawe sasa! ID yako imenikumbusha bata la Babati, kuna warembo mbaya zaidi sio "wachoyo"Mimi tv yangu toka 2015 kipindi cha kampeni sijawahi kuiwasha tena.
Sehemu gani ulikuwa unapendelea?Igawe sasa! ID yako imenikumbusha bata la Babati, kuna warembo mbaya zaidi sio "wachoyo"
Mimi binafsi huyu mtangazaji wa habari za michezo ananikera utangazaji wake! kiasi kwamba akianza kutangaza tu nahamisha stesheni, kwani hizo mbwembwe zote zina umuhimu gani, unaleta madoido ya kizamani, mbona ukifanya mazungumzo ya kawaida sauti yako ni ya kawaida hadi unapotangaza ndo unatuletea mbwembwe! Acha hizo ni ushamba tu huo kama hujui, au unataka umaarufu?
Kuna ka pub flan hivi very popular nyuma ya ile petrol station nimesahau jina!Sehemu gani ulikuwa unapendelea?
Itakuwa Ango kama ni petrol station ya karibu na standKuna ka pub flan hivi very popular nyuma ya ile petrol station nimesahau jina!