Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,129
- 8,378
Nashangaa kituo kikubwa kama ITV wanadownload picha google na kuziweka kwenye taarifa ya habari. Hamuoni kama resolution ya picha inakua distorted na hvyo kutokuonekana vizuri au kutokuonekana kabisa!! Ina maana hapo ITV hakuna wataalamu wa IT ambao wanaweza kuwashauri njia nzuri ya kuchukua hzo picha. Mnanishangaza kweli.