Help:nimechapiwa sijui nifanye nini

Anatishia kujiua mwambie anywe digoxin 10 kila mtu ultimately si atakufa tu ila kama yeye anataka kutangulia atangulie tu. Yaani afanye upumbavu halafu atishie kufa na ajiue tu akitaka
 
Duh hapo kazi ipo. Sasa fanya hivi;

1. Mwambie unampenda ila kwa sasa unahitaji muda wa kutafakari maisha ya mahusiano yenu baada ya kuwa amefanya hayo aliyokwambia. Inawezekana mengi hajakwambia

2. Mwambie akapime afya yake na hakikisha kama ukizidiwa(akikulaghai kufanya mapenzi) TUMIA CONDOM. Apime tena na tena mpaka miezi mitatu ipite

3. Akuambie huyo aliyelala nae ni nani! Mfahamu, ona uhusiano wao ulikuwaje. Je ilikuwa one night stand au ni ex boy friend

4. Usipanic wala nini ila ukisikia maumivu kubali kuumia kidogo kisha potezea.

5. Anza kuwa na mpango wa plan B.
 

Rutta kama usemavyo keshamsoma mdhaifu ya mchumba wake..huwezi kutoka

utokako ukaja kusema eti nimekucheat kirahisi rahisi....huyo mleta mada ajue Akili Mukichwa..

mie ka ni mwenza wangu wala usithubutu kujaa kuniambia...some things should not be revealed...
 

Deja vu.
 
Jamaniiii usiseme hivyo bhathiii wenzio ze ufoo saro saga hayajatutoka bado ivo
sijaelewa ulichosema...kama anampenda sana na yupo tayari mpaka kufa asingecheat on the first place...huyu mwanaume anafanywa zoba!!
 
sijaelewa ulichosema...kama anampenda sana na yupo tayari mpaka kufa asingecheat on the first place...huyu mwanaume anafanywa zoba!!

una msimamo mkali! ungekuwa wifi yake angeipata fresh. lol
 
Kutokana na hapo kwenye bold jiulize:-
Je huhitaji kumuona kwa sasa tu au hata baadae?
Kama utahitaji kumuona kwa baadae basi mrudie ili asijiue;kama ndo hutaki foreva basi mwache uendelee na msimamo wako kitakachotokea..mimi sijui..
 
Kama ni kitumbua basi kimeingia mchanga tyri, na ameanzaje kukuambia sio bure kuna kitu pengine anahofia wew utaskia kutoka kwa wengine, Au jamaa aliekula mzigo ata tangaza kwhyo ameona aifute aibu mapema, endelea kuchunguza hawezi atoke 4rm no where aje aseme tu Eti! nimeliwa mzigo, hapo kuna kitu
 
ukiwa mjanja kumegewa ni siri ya ndani,au kama vipi apigwe tu maana tumeshachoka wapigwe tu.
 

jiulize n kwanini kaamua kukwambia? Je angekuficha ungejua? Tambua mahusiano yaliopo kati y jamaa aliecheat nae n y muda mrefu? Katika mahusiano yenu hukuwahi kumsaliti? Anakutegemea kwa kiasi gani/ muda mfupi uliopita kuni jambo kubwa ulimuahidi? Kuteleza kama binadamu kunatokea kama alikusaliti ktk mazingira hatarishi n sikupanga wakavuane makufuli! The way unavyo mtreat kwa kuonesha unavyo mjali n kumpenda atakuwa anajuta kw alilolitenda, mpaka kafikia hatua y kukuweka wazi nahisi anatakuwa anajuta.
 
When you are 2gether, you are 2gether.
When you aren't together, you aint together!
Always remember that .... Kama analipa mpakate kishkaji, mapenzi hamna hapo.
 
wanawake wa siku hizi majanga yan anachapwa nje harafu anakuja kukwambia amechapwa wewe utakuwa bushoke
 

toba ya kwanza anayoipenda BWANA ni kwenda kumalizana na uliyemkosea kwanza,
 
Wanaume ..... Very selfish

Nyie mkilala nje mnataka msamehewe

Ila wanawake wanageuka uchafu


 
huyo inaonekana hakutaki anatafuta njia muachane.... haiwezekani hujamfumania amemegwa huko eti anakuja kukusimulia. muulize kwanza jamaa wakati anamfumua alivaa kondomu? au walipiga kavukavu.... AIDS is around the corner bro.
 
Hilo si kosa la kusamehe kumbuka jasiri haachi asli, asikutishie kujiua achana nae.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…