Shukrani mkuukama umefanikiwa kuimaster c++ naomba nikupongeze kwan hyo ndo inaaminika kuwa powerful na difficult language to learn. kinachofata hapo ni kuelewa syntax ya vbasic ambayo ni rahis na human friendly. nenda website ya microsoft ile msdn library MSDN hapo kuna mifano mingi na community ya developers kibao ambao wapo kutoa msaada na kuna article nyingi sana, pia usisahau kuchukua copy yako ya visual studio 10 au 2012
mkuu, mie pia nataka kujifunza programming, but sijui nianzie wapi..msaada tafadhalikama umefanikiwa kuimaster c++ naomba nikupongeze kwan hyo ndo inaaminika kuwa powerful na difficult language to learn. kinachofata hapo ni kuelewa syntax ya vbasic ambayo ni rahis na human friendly. nenda website ya microsoft ile msdn library MSDN hapo kuna mifano mingi na community ya developers kibao ambao wapo kutoa msaada na kuna article nyingi sana, pia usisahau kuchukua copy yako ya visual studio 10 au 2012