MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Binafsi naamin hakuna linaloshindikana kama utakuwa na tabia ya kuwashirikisha wenzio mambo yanayokutatiza. Naombeni ushauri nifanyaje ili kumuacha mpenzi wangu bila kuumiza moyo wangu, wala kusongwa na mawazo. Ninampenz wangu nampenda sana lakini ananitesa sana.. Kila nikitaka kumuacha nashindwa pliz msaada wenu ni muhimu kwangu