J jaluz Member Oct 18, 2012 47 7 Oct 19, 2012 #1 baada ya kufuatilia mada na habar mbalimbali,nami nimeona ni muhimu pia niweze kujumuika nanyi..naombeni mnikaribishe
baada ya kufuatilia mada na habar mbalimbali,nami nimeona ni muhimu pia niweze kujumuika nanyi..naombeni mnikaribishe
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,091 16,125 Oct 19, 2012 #2 Karibu sana, nadhani uanzie jukwaa la siasa maana lipo busy leo!
The Son JF-Expert Member Jul 30, 2012 459 58 Oct 20, 2012 #3 Karibu jaluz Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mgibeon JF-Expert Member Aug 7, 2011 11,135 20,763 Oct 20, 2012 #4 Karibu sana, ila ni bora kusoma tu maoni ya wengine kuliko kuchangia