Acha za fb kijana.Mimi kwa majina yangu naitwa Abdon Andrew, ni mwanachama jf toka 2012 ila sikuwa 'ACTIVE' sasa ndo nimekuja rasmi, naomba mnipokee ili tulisongeshe hili jamvi letu la JF.
Nafurahi sana kuwa hapa.
Ahsanteni
Kutaja majina.Ndo zikoje hizo za fb