Bianca joseph
Member
- Jan 20, 2015
- 35
- 25
- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauriDuh,
Njoo na akili Tu humu tabia utazikuta humu humu ila usije ukaziiga
Asante kwa ushauriDuh,
Njoo na akili Tu humu tabia utazikuta humu humu ila usije ukaziiga
Asante
OoopsNipo Dar
PoaOoops
Mimi niko mkoani huku
Karibu
AsanteKaribu
Asante kwa ushauriKuna ndugu yangu mnafanana sana....
Anyway, karibu sana hapa jamvini. Kikubwa zingatia kanuni na sheria za humu, pia waheshimu watu wote, na pia humu ni ngumu kidogo kuitambua jinsia ya member mwenzako.
Nimekupa tahadhari tu, si kwaubaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna juice ya nyumbani...home made, soda sio nzuri mama.Waooh! Napenda Pepsi mkubwa wao
Ukiona mgeni kaja halafu vijana wanazuka PM ujue hawapo matured hao.