Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Ni fupi na kueleweka!Lakini maadam la kuvunda halina ubani, Muda utasema!
Huu si uchochezi hajwa biased she has shown impartiality in whole observations
Ni fupi na kueleweka!Lakini maadam la kuvunda halina ubani, Muda utasema!
Mama HELLEN KIJO BISIMBA ni hatari sana kwa taifa letu teule la tanzania.
ETI dini nyinigine imeendesha propaganda kuwa mfumo wa uongozi ni mfumo kristo? hapa unataka kuwalaumu waislamu? mimi mkristo MAMA lakini nikukumbushe, WAKRISTO nao tumekuwa na propaganda chafu kuwa Uongozi mzima serikalini ni WAISLAMU , mbona hilo hajalisema? MAMA anawaasa watanzania kutumiwa na Wanasiasa, yeye binafsi hata mtoto mdogo anajua kuwa anatumiwa na CHADEMA , ameacha kutumiwa hadi atuambie maneno haya? Nakumbuka hata SLAA wakati anaongelea sakata la LWAKATARE kamsifia sana huku akihoji eti HELLEN KIJO BISIMBA naye ni CHADEMA? watu tunakuwa na mitazamo tofauti, Huyu mama ni tatizo kubwa sana
Ni kweli kabisa Mkuu! Tena iko waziwazi bila kuuma manene! Na serkali ingesikia sauti hiyo, hayatotukuta! Ndipo nilipo ona kwamba sikio la kufa halisikii dawa!Huu si uchochezi hajwa biased she has shown impartiality in whole observations
Ni kweli kabisa Mkuu! Tena iko waziwazi bila kuuma manene! Na serkali ingesikia sauti hiyo, hayatotukuta! Ndipo nilipo ona kwamba sikio la kufa halisikii dawa!
Suala hapa sio kulalamika ndugu yangu manucho bali kuchukua hatua. Suala hili ni letu sote na kila mmoja kwa nafasi yake ana wajibu wa kurekebisha mambo. Kila mtu kwa nafasi yake, tukianza mimi na wewe tunaweza kuchangia katika ujenzi wa jamii yenye mshikamano na upendo wa kweli.Kama wanaotetea hayo mambo ya kidini ndiyo haohao wako huko serikalini sasa tutapeleka malalamiko wapi? Kwa mungu au?
Mkuu huyu mama huwa namkubali ana Msimamo mzuri na haogopi kusema na kukemea lile analiona ni baya kwa nchi na raia wake.
Kama kweli waraka huu ni wa
mama bisimba ambaye namheshimu sana. naungana nae moja kwa moja lakini
mifano aliyoitoa imeelemea kutetea haki wa dini yake. naweza
kujiridhisha kuwa yeye ni mwanaharakari wa haki za binadamu wa kikristo.
na kama mimi siko sahihi basi nionyeshwe lini katetea madhila
wanayofanyiwa waislam.
Safi sana huo ndio uchambuzi unaotakiwa kufanywa na Utawala ulio makini. Lakini kwa vile hawako TZ au waliopo ni waratibu wa mauaji ya kimbari basi tumekwisha. Kijo endelea kudocument na toa mawasilisho hayo hague ili wapuuzi wapelekwe mapema kabla ya kutumaliza. Mlipo wapelekea Hague yale ya mwanzo na Fatou Bensouda kutinga TZ wametengeneza video za kubumba kupayusha upepo! Tutakupa ushirikiano zaidi.
Kuna shida gani? amegusa wapi? wewe ni mmoja wa waliondaliwa kuua siyo? UDINI wa hii habari uko wapi? Toa mbadala siyo unabwata kama batamaji!. Ametoa tu mifano katika hatua alizoonyesha!! Kwa vile umejiandaa kwa shughuli uliyotumwa ya mauaji hutaki kusikia! uko kwenye DENIAL stage aliyoitaja!!hivi ninyi mnaowindwa na udini toka mioyoni mwenu, mnashindwa hata kuona udini wa wazi ndani ya huu UTAFITI UCHWARA?????
Labda kama hamuishi TANZANIA na kama mnaishi TZ ni wazi mtakuwa mnafahamu kuwa WAISLAM ndio watu waliokuwa MOST DISORGANIZED CIVIL GROUP.. hivi mnavyoviona ni vikundi vya waganga njaa ambavyo havina mashiko kabisa miongoni mwa waTZ... KIJAMII,, HII NCHI BADO NI MOJA NA TUNASHIRIKI KAIKA KILA KITU PAMOJA NA HAKUNA TOFAUTI YOYOTE YA KIMSINGI BAINA YETU(wakristo na waislamu). hizi propaganda za mauaji ya halaiki yenye mrengo wa kidini ni eendelezo za zile hadithi za udini miongoni mwa waTZ hadithi ambazo ZIKO WELL ORGANISED AND WITH HIDDEN AGENDERS.
ANGUKO LA TAIFA HILI LIKO MIKONONI MWA WANASIASA NA VIONGOZI WA DINI huku anguko hilo likiratibiwa kwa ukaribu kabisa na wanahabari(wahariri,waandishi na wamiliki) na wanaharakati( kama alivyo mama kijo bisimba(mungu ampe laana)
Machafuko yakitokea Tanzania huyu mama hawezi kukwepa lawama za uchochezi, ni hatari sana.
rudi upya kwenye thread usome DENIAL stage inakuja wakati stage ngapi zikiwa zimeshapita!!!!Kuna shida gani? amegusa wapi? wewe ni mmoja wa waliondaliwa kuua siyo? UDINI wa hii habari uko wapi? Toa mbadala siyo unabwata kama batamaji!. Ametoa tu mifano katika hatua alizoonyesha!! Kwa vile umejiandaa kwa shughuli uliyotumwa ya mauaji hutaki kusikia! uko kwenye DENIAL stage aliyoitaja!!
Wewe ndiye hukusoma vyema!! Those prejudices wo'nt let u think freely! mifano michache ambayo ni ya kweli imekufanya ukaiita ya UDINI. Mtu kama wewe hakuna wa kushawishi ujitoe kwenye hilo zimwi la UDINI lililokujaa!!rudi upya kwenye thread usome DENIAL stage inakuja wakati stage ngapi zikiwa zimeshapita!!!!
anyway,, sijafunzwa kutukana kaka. nawapa pole wazazi wako kwa kutolelewa vizuri huko kwao hadi wakashindwa kukulea wewe katika maadili ya kitanzani...
rejea vizuri utafiti wa KIJO BISIMBA... weka imani yako ya dini pembeni, jaribu kuwa muumini wa ukweli, then utuambie ndani ya matokeo ya huo utafiti wamelengwa akina nani??? naandika hapa nikiwa sio mtumwa wa imani(NA WALA MUNGU WANGU HATOKI MIDLE EAST kama mungu wenu ninyi. na labdanikuhakikishie tu kuwa naweza nikamchukia mtu kutokana na matendo yake(phisical) kijamii and i dont give a damn about ABRAHAM(IBRAHIM) LINKED RELIGION.. utumwa wa imani huwatawala watu walio na bongo ndogo mithili ya mataahira na ndio unaowatesa watz wengi. GET UPU AND WAKEUP FROM THAT DEEP AND ROTTEN COMMA
Kama kweli waraka huu ni wa mama bisimba ambaye namheshimu sana. naungana nae moja kwa moja lakini mifano aliyoitoa imeelemea kutetea haki wa dini yake. naweza kujiridhisha kuwa yeye ni mwanaharakari wa haki za binadamu wa kikristo.
na kama mimi siko sahihi basi nionyeshwe lini katetea madhila wanayofanyiwa waislam.
Mama HELLEN KIJO BISIMBA ni hatari sana kwa taifa letu teule la tanzania.
ETI dini nyinigine imeendesha propaganda kuwa mfumo wa uongozi ni mfumo kristo? hapa unataka kuwalaumu waislamu? mimi mkristo MAMA lakini nikukumbushe, WAKRISTO nao tumekuwa na propaganda chafu kuwa Uongozi mzima serikalini ni WAISLAMU , mbona hilo hajalisema? MAMA anawaasa watanzania kutumiwa na Wanasiasa, yeye binafsi hata mtoto mdogo anajua kuwa anatumiwa na CHADEMA , ameacha kutumiwa hadi atuambie maneno haya? Nakumbuka hata SLAA wakati anaongelea sakata la LWAKATARE kamsifia sana huku akihoji eti HELLEN KIJO BISIMBA naye ni CHADEMA? watu tunakuwa na mitazamo tofauti, Huyu mama ni tatizo kubwa sana
It is good observation ikiwa na ujumbe kwa kila mtanzania, msishangae watakuja watu watatoa povu kuponda correct observation ya Mkurugenzi huyu makini. Subirini muone wehu wengi sana nchi hii.