jingalao;
Kweli weye ndio jingalao kweli kweli. Na zile za EPA, ESCROW, Meremeta na pembe za ndovu kule China, na, na, naaaaa. Jamani, msitupe mawe nyumba ya jirani wakati kwenyu mnalala nyumba ya vioo, huku unaona kabisa mawingu ya mvua yametanda tena mazito. Ohoooo.
Endeleeni na kusema hovyo wale waliogawana fweza kwa mifuko ya sandalusi hawajafa jamani. Tuseme hizo ndo zinampeleka Magufuli majimboni?? Ndo mnawanunua nazo viongozi wa UKAWA walete fujo ili sisi tubaki kupoozesha mambo huku nyie mnachanja mbuga?? Hapana aiseee, Otee, otee naiyo. HATUDANGANYIKIIIII.
Acha hiyo feza ya Richmond inunue hayo mafuriko ila nadhani, hayo mafuriko yataisomba ile gate ya Ikulu tuingie kiulainiiii.
Kumbe Mmasai naye ana akili, akaamua kuzitumia kuwanunua watu ili wamchague, nyiye mnakimbiza kwenda kuficha ng'ambo. Mtazirudisha tuuu mwaka huu. Ati hapa kaz tuu, na tutafungua mahakama ya mafisadi. Aseme atatupiga changa la macho ka lile la Mramba na Yona ili siku zipite. HAMTOKI MWAKA HUU