Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,566
- 28,527
Siyo siri sasa kuwa kitendawili cha RICHMOND hakijateguliwa.
Ile heka ya RICHMOND ambayo ilihamishiwa DOWANS , katika uchunguzi ilisemejana kuna Tsh milioni 153 zinalipwa KILA SIKU kwa wanufaika.
Tumesikia juzi JK akisema aliyelibeba furushi la RICHMOND ni yule aliyehamia UKAWA.
Na mimi ningepata milioni 153 kwa kweli ninge kinunua chama kinachonunulika.
Ile heka ya RICHMOND ambayo ilihamishiwa DOWANS , katika uchunguzi ilisemejana kuna Tsh milioni 153 zinalipwa KILA SIKU kwa wanufaika.
Tumesikia juzi JK akisema aliyelibeba furushi la RICHMOND ni yule aliyehamia UKAWA.
Na mimi ningepata milioni 153 kwa kweli ninge kinunua chama kinachonunulika.