Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,959
Kabla hujaanza kulalamika kuhisu pesa ya mkeo inaenda wapi fatilia vitu hivi kwanza usijekuonekana miyeyusho
◇ Kuna mashuka mangapi ndani, au unajua kujifunika tu na haujui limetoka wapi?😁
◇ Masufuri na vyombo vya kupikia vipo vingapi?
◇ Mapazia ya mlangoni na dirishani yapo mangapi??
◇ Mapambo kama maua na mapambo mengine vipo vingapi??
◇ Vest na nguo za kulalia zipo?
◇ Vikangagio vya mlangoni vipo vingapi ?? Huenda ata bei huijui😁
Tupunguze ulalamishe et ela ya mwanamke hainaga kazi wakati ndani kuna vitu na haujui bei yake.
◇ Kuna mashuka mangapi ndani, au unajua kujifunika tu na haujui limetoka wapi?😁
◇ Masufuri na vyombo vya kupikia vipo vingapi?
◇ Mapazia ya mlangoni na dirishani yapo mangapi??
◇ Mapambo kama maua na mapambo mengine vipo vingapi??
◇ Vest na nguo za kulalia zipo?
◇ Vikangagio vya mlangoni vipo vingapi ?? Huenda ata bei huijui😁
Tupunguze ulalamishe et ela ya mwanamke hainaga kazi wakati ndani kuna vitu na haujui bei yake.