Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,402
- 7,567
Hiyo ni programme ya serikali kwenye majiji ya mbeya arusha mwanza tanga na miji ya kigoma mtwara Dodoma pesa zimetoka
Benki ya dunia, chadema hawawezi kufanya haya, Sabodo aliwapa pesa ya kuchimba Visima Tu hakuna hata kimoja kilichochimbwa pesa yote wakala
Benki ya dunia, chadema hawawezi kufanya haya, Sabodo aliwapa pesa ya kuchimba Visima Tu hakuna hata kimoja kilichochimbwa pesa yote wakala