Tagawa Mwakitombile
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 468
- 398
habari za wikiendi nduguzangu wana jf?
Leo nimeamua kushare na ninyi kisa ambacho kimenitokea usiku wa kuamkia leo kama kama ifuatavyo;
mwanzoni mwa wiki hii rafikiyangu ambaye nilipotezana naye kwa muda wa takribani miaka 3 hiv alinipigia simu ya kwamba anataka kwenda mwanza akitokea dar so alisemapia atapitia hapa dom [ambapo mimi ndo naishi] angalau tukaenaye kama siku 2 hivi then ndo aende mwanza kwa vile nilikuwa alikua ni rafikiyangu sana na classmate wangu ambaye tulikua tumeshibana sikamwambia kirohosafiiiii aje tu maana itakua mzuka sana
alifika hapa dom siku ya ijumaa mchana akitokea dar,nikampokea na kumpeleka hadi sehemu niliyopanga ambapo ndo ninaishi tukapiga story mbilitatu nikamuonesha sehemu ya kuoga after that tukapiga luch pamoja na story za hapa na pale zliiendelea.ilipofika mida ya jioni ikanibidi tutoka tukaenda somewhere kupata maji ya rangi ya mende,pombe kali na nyamachoma/mida ilipoenda ikabidi tukodi tax hadi home,tukalala ila nilishtuka usiku kwa kuhisi ninapapaswa sehemuzangu za siri[gobore] nilipomuuliza nduguyangu kulikoni!?mbona sikuelewi?
Jamaa akaniambia ya kwamba yeye sio riziki na alikua anataka nimkabaang!
Aiseee! Nilitamani nimfukuze usiku wa manane ila roho ya huruma ikanijia nikaamua nimuache alale kitandani pekeyake na mimi nikaendakulala kwenye sofa/kochi!
Ila nashukuru leo mchana kaondoka
AMAKWELI UKISTA AJABU YA MUSSA........YA ---- HUNI#
Leo nimeamua kushare na ninyi kisa ambacho kimenitokea usiku wa kuamkia leo kama kama ifuatavyo;
mwanzoni mwa wiki hii rafikiyangu ambaye nilipotezana naye kwa muda wa takribani miaka 3 hiv alinipigia simu ya kwamba anataka kwenda mwanza akitokea dar so alisemapia atapitia hapa dom [ambapo mimi ndo naishi] angalau tukaenaye kama siku 2 hivi then ndo aende mwanza kwa vile nilikuwa alikua ni rafikiyangu sana na classmate wangu ambaye tulikua tumeshibana sikamwambia kirohosafiiiii aje tu maana itakua mzuka sana
alifika hapa dom siku ya ijumaa mchana akitokea dar,nikampokea na kumpeleka hadi sehemu niliyopanga ambapo ndo ninaishi tukapiga story mbilitatu nikamuonesha sehemu ya kuoga after that tukapiga luch pamoja na story za hapa na pale zliiendelea.ilipofika mida ya jioni ikanibidi tutoka tukaenda somewhere kupata maji ya rangi ya mende,pombe kali na nyamachoma/mida ilipoenda ikabidi tukodi tax hadi home,tukalala ila nilishtuka usiku kwa kuhisi ninapapaswa sehemuzangu za siri[gobore] nilipomuuliza nduguyangu kulikoni!?mbona sikuelewi?
Jamaa akaniambia ya kwamba yeye sio riziki na alikua anataka nimkabaang!
Aiseee! Nilitamani nimfukuze usiku wa manane ila roho ya huruma ikanijia nikaamua nimuache alale kitandani pekeyake na mimi nikaendakulala kwenye sofa/kochi!
Ila nashukuru leo mchana kaondoka
AMAKWELI UKISTA AJABU YA MUSSA........YA ---- HUNI#