Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Cha kuokota siyo cha kuiba mwenye mali ni mjinga,jamani nimeokota 350 asubuhi hii ni bahati jamani ww mara ya mwisho uliokota pesa lini?...
Cha kuokota siyo cha kuiba mwenye mali ni mjinga,jamani nimeokota 350 asubuhi hii ni bahati jamani ww mara ya mwisho uliokota pesa lini?...
ungeipeleka hiyo pesa polisi....haraka sana
Hivi bado kuna watu wanadondosha hela!? Duh! Hongera...
Me asubuhi hii nimeokota sh50.
ungeipeleka hiyo pesa polisi....haraka sana
kweli ni bahati mkuu nilikuwa nimesha sahau kama bado huwa kunakuokota hela nyakati hizi za JK!...Una bahati kweli.
Kipipi hizo zilikuwa zamani siku hizi hapati mtu majipu wala nn,hujui siku hizi hata zile nazi wanazopasuaga njiapanda watu huwa wanapita nazo,kila kitu siku hizi deal!...Umeiokotea wapi? Kama njia panda imekula kwako! Irudishe haraka kabla hujaota majipu mwili mzima!
Hahahahahaha ww mtotowamjini acha hizo toka lini cha kuokota kikapelekwa polisi labda maiti maana hata maguruneti watu wakiokote wanapotelea nayo polini!...