Heche na DGIS: Mtafaruku CHADEMA!

Heche na DGIS: Mtafaruku CHADEMA!

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
774
Reaction score
691
Hakuna aliyekuwa anajua hata kufikiri kwamba Heche anaweza akawa anazungumza na DGIS. Umeibuka mtafaruku mkubwa sana ndani ya CHADEMA, hadi mwenyekiti jana ameshindwa kula huko gerezani baada ya kusikia Heche kumbe ana mazungumzo ya siri na DGIS. Kweli CCM sio chama cha kuchezea.
HSAK3IkXgAA558N.jpg
HSAK3qQXMAAg1Kv.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom