Heche: Mwenye mpira ndio anayekabwa

Heche: Mwenye mpira ndio anayekabwa

Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira lazima wamfate yeye' je, kauli hii nyinyi mmeielewaje? Naomba majibu (my insistence is that response should be given by those with sobriety).
Lakini kwa bahati mbaya sana, neno hilo linatatanisha, maana inaonekana hata baadhi ya wachezaji wa timu yake nao wanakaba; tena kwa nguvu zaidi hata kuliko wa timu pinzani!

Hata Messi hawezi kucheza mpira akafunga magoli kwenye timu ya namna hiyo.
 
Heche aache janja janja kila siku ni kutembeza bakuli la tonetone kule fedha zinaenda anajua yeye na mahawara zake, safari hii tunamkalia kooni apishe kiti uchunguzi ufanyike, wanacdm kindakindaki hatuwezi kufumbia macho ubadhirifu huu wa mali za umma!!
Ushoga mbaya sana.
 
unamuelezea Leonel Mesi wa ufisadi ndani ya chadema gentleman? 🐒
Unashinda kutwa nzima, tokea asubuhi hadi usiku JF kuweka tu vimanenoneno vya kipuuzi katika kila mada inayowekwa humu JF!

Hii kazi itamsaidia vipi Samia mhalifu anayesubiri kuwajibishwa na waTanzania?
 
Nyie mashoga huu Uzi ni beyond your capability na mkitaka maneno ya shombo mimi ndio kinara mashoga ya Abdul nguruwe msio na mikia wapuuzi mnaoshabikia majizi,mafisadi,matekaji na mafiraji.
Kumbe hilo King Nkondo, nalo ni punguani sawa na Tlaatlaah na Mwashambwa!! Hayo ni kuya-ignore, ili usipoteze muda wako wa thamani kufanya argument na mijitu iliyokosa akili.
 
Heche aache janja janja kila siku ni kutembeza bakuli la tonetone kule fedha zinaenda anajua yeye na mahawara zake, safari hii tunamkalia kooni apishe kiti uchunguzi ufanyike, wanacdm kindakindaki hatuwezi kufumbia macho ubadhirifu huu wa mali za umma!!
Tulio changa wala hatuna kelele ambao hamjachanga sasa mikundu inawawasha hatareee
 
Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira lazima wamfate yeye' je, kauli hii nyinyi mmeielewaje? Naomba majibu (my insistence is that response should be given by those with sobriety).
Kazi kweli kweli
 
Heche aache janja janja kila siku ni kutembeza bakuli la tonetone kule fedha zinaenda anajua yeye na mahawara zake, safari hii tunamkalia kooni apishe kiti uchunguzi ufanyike, wanacdm kindakindaki hatuwezi kufumbia macho ubadhirifu huu wa mali za umma!!
Kwani ukiwa kada mtiifu wa green devils party lazima uanike upuuzi wako hadharani?
 
Back
Top Bottom