Heche: Mwenye mpira ndio anayekabwa

Heche: Mwenye mpira ndio anayekabwa

Yes gentleman,
heche ndie fisadi mkuu wa pesa za chadema,

na kwahivyo ndie pekee anaestahili kuzungumzwa sana, kunyooshewa kidole sana na kila anachukia ufisadi ndani ya chadema, na kumshinikizwa aachie nganzi kupisha uchaguzi huru wa kichama dhidi ya ufisadi wake dhidi ya pesa na rasilimali za chama 🐒
Serikali ambayo haina ridhaa ya wananchi utaijua tu kwani badala ya kupigania maendeleo ya wananchi wake maskini yenyewe iko busy kutengeneza machawa kama hawa ambao hawataki kufanya kazi.

Kutwa nzima ni kushinda kwenye mitandao kuandika ujinga ili wapewe vihela vya kujikimu na mafisadi wa ccm.

Heche hafanyi kazi serikalini huo ufisadi ameufanyia wapi. Ripoti ya CAG kila mwaka ni uwizi mtupu lkn hakuna anayeguswa hayo hamuoni halafu unakuja kuandika upumbavu humu kisa Heche amekataa kununuliwa ili kukisaliti chama chake. Bure kabisa machawa wa Samia.
 
Heche hafanyi kazi serikalini huo ufisadi ameufanyia wapi. Ripoti ya CAG kila mwaka ni uwizi mtupu lkn hakuna anayeguswa hayo hamuoni halafu unakuja kuandika upumbavu humu kisa Heche amekataa kununuliwa ili kukisaliti chama chake. Bure kabisa machawa wa Samia.
Ufisadi sio serikalini tu hata kwenye vyama vya siasa Ufisadi upo, chadema sio mali ya mtu binafsi ni mali ya umma so hata mali zake ni za umma pia, lazima tuhoji ubadhirifu huu na tutamshinikiza heche aachie ngazi kupisha uchunguzi huru ndani ya chama.
 
Yes gentleman,
heche ndie fisadi mkuu wa pesa za chadema,

na kwahivyo ndie pekee anaestahili kuzungumzwa sana, kunyooshewa kidole sana na kila anachukia ufisadi ndani ya chadema, na kumshinikizwa aachie nganzi kupisha uchaguzi huru wa kichama dhidi ya ufisadi wake dhidi ya pesa na rasilimali za chama 🐒
Kwa sisi wazee wa zamani tuna msemo wetu!
Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe
wewe endelea na UCHAWA kwa SA100
 
Kwa sisi wazee wa zamani tuna msemo wetu!
Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe
wewe endelea na UCHAWA kwa SA100
Lionel Messi wa ufisadi ndani ya chadema taifa anajaribu kujitutumua mpaka anaharibu zaidi 🤣
 
kauli zake sasa

Ccm mbwa Mzee na mbwa Mzee hafundishwi mbinu mpya za uwindaji

Hii ya Jana tena kalisana ya mwaka
 
Ufisadi sio serikalini tu hata kwenye vyama vya siasa Ufisadi upo, chadema sio mali ya mtu binafsi ni mali ya umma so hata mali zake ni za umma pia, lazima tuhoji ubadhirifu huu na tutamshinikiza heche aachie ngazi kupisha uchunguzi huru ndani ya chama.
Ccm na serikali yake haramu wao ufisadi mkubwa wanaufanya ambao ndio msingi mkuu wa ufukara wa watanzania na ambao ndio chanzo cha kuzaa machawa kama nyie mmeufanyia nini.
 
Ccm na serikali yake haramu wao ufisadi mkubwa wanaufanya ambao ndio msingi mkuu wa ufukara wa watanzania na ambao ndio chanzo cha kuzaa machawa kama nyie mmeufanyia nini.
Kama ushahidi unao fuata taratibu nazani watashughulikiwa!!
 
Kibaya zaidi chama changu kitakimbilia kutuma Mwaipopo au Msigwa kujibu.

Yule Kihongosi na Migiro wamepwaya kabisa
 
Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira lazima wamfate yeye' je, kauli hii nyinyi mmeielewaje? Naomba majibu (my insistence is that response should be given by those with sobriety).
Kuwa kichaa siyo lazima uvue nguo hadharani, mpira gani anao!
 
Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira lazima wamfate yeye' je, kauli hii nyinyi mmeielewaje? Naomba majibu (my insistence is that response should be given by those with sobriety).
TAL Yuko ndani,wakazani wamezima moto, Kumbe ndio wameweka petroli bila kujua,moto umesambaa vibaya mno!
 
Serikali ambayo haina ridhaa ya wananchi utaijua tu kwani badala ya kupigania maendeleo ya wananchi wake maskini yenyewe iko busy kutengeneza machawa kama hawa ambao hawataki kufanya kazi.

Kutwa nzima ni kushinda kwenye mitandao kuandika ujinga ili wapewe vihela vya kujikimu na mafisadi wa ccm.

Heche hafanyi kazi serikalini huo ufisadi ameufanyia wapi. Ripoti ya CAG kila mwaka ni uwizi mtupu lkn hakuna anayeguswa hayo hamuoni halafu unakuja kuandika upumbavu humu kisa Heche amekataa kununuliwa ili kukisaliti chama chake. Bure kabisa machawa wa Samia.
Upepo umegoma,Jahazi limekwama! mboga mboga hawaamini!
 
Yes gentleman,
heche ndie fisadi mkuu wa pesa za chadema,

na kwahivyo ndie pekee anaestahili kuzungumzwa sana, kunyooshewa kidole sana na kila anachukia ufisadi ndani ya chadema, na kumshinikizwa aachie nganzi kupisha uchaguzi huru wa kichama dhidi ya ufisadi wake dhidi ya pesa na rasilimali za chama 🐒
Kwamba wewe unaihurumia CHADEMA hutaki iibiwe unataka istawi?How ironic?
 
Kwamba wewe unaihurumia CHADEMA hutaki iibiwe unataka istawi?How ironic?
Yupo sahihi kwa namna fulani.
Kimsingi Chadema ikiwa dhoofu hata yeye kibaruani kinakuwa mashakani kama ni kweli wanalipwa kwa kazi ya uvuvizela mitandaoni
 
Back
Top Bottom