Heche kuna kigogo ndani ya CCM aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili wa ubunge.

Heche kuna kigogo ndani ya CCM aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili wa ubunge.

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Ndani ya CCM Kuna mambo ya kutisha.
Henche amesema sahivi Wana CCM wanampiga simu wanasema kuwa na wenyewe wanataka reforms.

Heche amesema kuna kigogo ndani ya CCM Kwakua mfumo haumuitaji siku ya usahili aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili.

Lakini pia amebainisha ya kwamba Majaliwa alienda kuchukua fomu akanyimwa.

Ni hivi CCM mtavuna mlichopanda. Ndani ya Chadema Lissu akifanya ujinga wanachama watampiga spana. Ila ma CCM yanaonewa kweli kweli afu yanaugulia maumivu Kwa ndani maana hayawezi kusema.

Ni kilio na kusaga meno kwa Wana CCM ambao mfumo hauwaitaji
 
Siwashauri sana CHADEMA kusema ya wenzenu hasa kipindi hichi cha mchakato wa kuwapata wagombea..wewe mtoa mada unawasema CCM..Swali kwako..Kwanini Walioanzisha "No reforms no election" baadhi yao walikimbilia CHAUMMA na kuikataa tena hyo "No reforms no election"? Kwasasa pambania yakwako..TANZANIA BILA UWEPO WA VYAMA VYA SIASA ITABAKI NGANGARI.
 
Siwashauri sana CHADEMA kusema ya wenzenu hasa kipindi hichi cha mchakato wa kuwapata wagombea..wewe mtoa mada unawasema CCM..Swali kwako..Kwanini Walioanzisha "No reforms no election" baadhi yao walikimbilia CHAUMMA na kuikataa tena hyo "No reforms no election"? Kwasasa pambania yakwako..TANZANIA BILA UWEPO WA VYAMA VYA SIASA ITABAKI NGANGARI.
Kwanini Chauma,ACT kina Makala na Wasira Kila siku wanaisema Chadema wakati haishiriki uchaguzi?
 
Kwanini Chauma,ACT kina Makala na Wasira Kila siku wanaisema Chadema wakati haishiriki uchaguzi?
wewe bado saaana hujui kuchakata mambo unaongelea ushabiki, mimi hapa nasimama kama sio mwanachama,mshabiki na mfia chama ndo maana naona madhaifu kila upande..hujajibu swali ambalo ndani yake kuna majibu yako, unauliza swali namimi nikikuuliza, kwanini kila siku CHADEMA ni kuisema CCM kuliko vyama vingine? huoni kama tutakesha kuulizana maswali..Jibu rahisi ni ushindani wa kisiasa CHADEMA kutokushiriki uchaguzi haimanishi kwamba kwasasa Tanzania hakuna chama kinachoitwa CHADEMA midhali bado kipo lazima kisemwe hvo hvo ilikiendelee kuminywa kisiasa na nyie CHADEMA hvo hvo kwa CCM. Mimi kama mwananchi Nahitaji ushindani wa hoja za msingi..nasio chuki,vijembe,mauaji,udini,ukabila na ubeberu binafsi naitaji siasa safi ndo maana nasema:TANZANIA BILA VYAMA VYA SIASA ITABAKI KUWA NGANGARI.
 
Ndani ya CCM Kuna mambo ya kutisha.
Henche amesema sahivi Wana CCM wanampiga simu wanasema kuwa na wenyewe wanataka reforms.

Heche amesema kuna kigogo ndani ya CCM Kwakua mfumo haumuitaji siku ya usahili aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili.

Lakini pia amebainisha ya kwamba Majaliwa alienda kuchukua fomu akanyimwa.

Ni hivi CCM mtavuna mlichopanda. Ndani ya Chadema Lissu akifanya ujinga wanachama watampiga spana. Ila ma CCM yanaonewa kweli kweli afu yanaugulia maumivu Kwa ndani maana hayawezi kusema.

Ni kilio na kusaga meno kwa Wana CCM ambao mfumo hauwaitaji
Duuh
 
wewe bado saaana hujui kuchakata mambo unaongelea ushabiki, mimi hapa nasimama kama sio mwanachama,mshabiki na mfia chama ndo maana naona madhaifu kila upande..hujajibu swali ambalo ndani yake kuna majibu yako, unauliza swali namimi nikikuuliza, kwanini kila siku CHADEMA ni kuisema CCM kuliko vyama vingine? huoni kama tutakesha kuulizana maswali..Jibu rahisi ni ushindani wa kisiasa CHADEMA kutokushiriki uchaguzi haimanishi kwamba kwasasa Tanzania hakuna chama kinachoitwa CHADEMA midhali bado kipo lazima kisemwe hvo hvo ilikiendelee kuminywa kisiasa na nyie CHADEMA hvo hvo kwa CCM. Mimi kama mwananchi Nahitaji ushindani wa hoja za msingi..nasio chuki,vijembe,mauaji,udini,ukabila na ubeberu binafsi naitaji siasa safi ndo maana nasema:TANZANIA BILA VYAMA VYA SIASA ITABAKI KUWA NGANGARI.
umeandika pumba sana
 
Ndani ya CCM Kuna mambo ya kutisha.
Henche amesema sahivi Wana CCM wanampiga simu wanasema kuwa na wenyewe wanataka reforms.

Heche amesema kuna kigogo ndani ya CCM Kwakua mfumo haumuitaji siku ya usahili aliwekwa ndani Ili hasiende kwenye usahili.

Lakini pia amebainisha ya kwamba Majaliwa alienda kuchukua fomu akanyimwa.

Ni hivi CCM mtavuna mlichopanda. Ndani ya Chadema Lissu akifanya ujinga wanachama watampiga spana. Ila ma CCM yanaonewa kweli kweli afu yanaugulia maumivu Kwa ndani maana hayawezi kusema.

Ni kilio na kusaga meno kwa Wana CCM ambao mfumo hauwaitaji
Hahahahahaaa!
Sidhani kama heche ni mpumbavu wa kiwango hiki Cha kuja na kijistori Cha kifala kama hiki. Wananccm gani wa kumpigia yeye simu?!!! Ili afanye nini'?!!!!🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom