Nipo Musoma na nilibahatisha kuhudhuria uchaguzi wa naibu meya wa manispaa ya Musoma.
Heche alikuwepo kwa majigambo akaanza kusema wajumbe wafanye kikao haraka ili awahi mkutano wa hadhara Tarime ili kujipanga kuwa mbunge 2015.kwa kiburi akataja ratiba yake ya huko Tarime kwamba juzi alikuwa kata ya mbogi,jana kata ya Nyarokoba,leo jumapili atakuwa kata ya Nyarokoba,na juma tatu atakuwa kata ya Ganyange. Lakini kwa taarifa za ndani ya chama Heche na Waitara wamezuiliwa kufanya siasa Tarime na kuwa viongozi wa kanda ya ziwa.
Vikao hivyo vya Heche vimeandaliwa na mratibu wa kanda wa muda ndg Nzemo ambaye ni class mate wa Heche pale Mwanza na wana tumia gari la chama la kanda. Je Waitara au mtu yeyote mwenye nia ya kugombea ubunge anaweza kupewa gari hilo na Nzemo kumwandalia mikutano? kuna taarifa za ndani kwamba jimbo la Tarime CCM waliwatumia Heche na Mwera ili washinde na Heche hajawahi kukana hizo taarifa na kuna mvutano mkubwa sana wa makundi ya tangu 2010.
Vile vile kuna tetezi za viongozi wakuu wa chama kumbeba Heche na ndio maana hata haya yanafanyika na kwa ushahidi Heche anasema mkt Mbowe yuko nyuma yake na hakuna wa kumgusa.
Heche alikuwepo kwa majigambo akaanza kusema wajumbe wafanye kikao haraka ili awahi mkutano wa hadhara Tarime ili kujipanga kuwa mbunge 2015.kwa kiburi akataja ratiba yake ya huko Tarime kwamba juzi alikuwa kata ya mbogi,jana kata ya Nyarokoba,leo jumapili atakuwa kata ya Nyarokoba,na juma tatu atakuwa kata ya Ganyange. Lakini kwa taarifa za ndani ya chama Heche na Waitara wamezuiliwa kufanya siasa Tarime na kuwa viongozi wa kanda ya ziwa.
Vikao hivyo vya Heche vimeandaliwa na mratibu wa kanda wa muda ndg Nzemo ambaye ni class mate wa Heche pale Mwanza na wana tumia gari la chama la kanda. Je Waitara au mtu yeyote mwenye nia ya kugombea ubunge anaweza kupewa gari hilo na Nzemo kumwandalia mikutano? kuna taarifa za ndani kwamba jimbo la Tarime CCM waliwatumia Heche na Mwera ili washinde na Heche hajawahi kukana hizo taarifa na kuna mvutano mkubwa sana wa makundi ya tangu 2010.
Vile vile kuna tetezi za viongozi wakuu wa chama kumbeba Heche na ndio maana hata haya yanafanyika na kwa ushahidi Heche anasema mkt Mbowe yuko nyuma yake na hakuna wa kumgusa.