Sijapewa username bado
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,723
- 2,762
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Bara CHADEMA John Heche akiongea kwenye kongamano wagombea serikali za mitaa 2024.
Kongamano hilo lililofanyika ukonga jijini Dar es Salaam lakuwakutanisha wanachama wote wa mkoa wa Dar es salaam kujadili ajenda mbalimbali zinazoendelea kwa sasa nchini.
"Leo nimeenda kumuona Lissu nmezuiliwa. Nmempigia kamshna wa magereza hajanipokelea simu, wao wanafikiri hivyo vitendo vinanikatisha tamaa au vinanidhalilisha, lakini hata" John Heche, Makamu mwenyekiti Chadema
Kongamano hilo lililofanyika ukonga jijini Dar es Salaam lakuwakutanisha wanachama wote wa mkoa wa Dar es salaam kujadili ajenda mbalimbali zinazoendelea kwa sasa nchini.
"Leo nimeenda kumuona Lissu nmezuiliwa. Nmempigia kamshna wa magereza hajanipokelea simu, wao wanafikiri hivyo vitendo vinanikatisha tamaa au vinanidhalilisha, lakini hata" John Heche, Makamu mwenyekiti Chadema