Heche ameondoka na BAVICHA?

Heche ameondoka na BAVICHA?

Patrobas ni mtu sahihi kwa BAVICHA kwa sasa, tuache majungu, tumpe mda, ni mtu wa harakati, mipango na mfia chama. Kama humjui fuatilia/tress back historia yake;

1.Wakati akiwa waziri wa katiba na sheria SAUT Mwanza na waziri wa sheria TAHILISO akipigania haki ya wanavyuo kupiga kura kwa kuibana serikali ifuate ratiba ya TCU kwa kuruhusu vyuo vifunguliwe ili wakapige kura.

2.Akiwa mwenyekiti wa CHASO CDM SAUT harakati alizofanya kukijenga chama na kuhakikisha serikali ya wanafunzi inakuwa chini ya CDM na alifanikiwa. Muulizeni aliyekuwa Rais wa SAUT/SAUTSO 2012/2013 BWN Godlisten Malisa na rais WA 2013/2014 Bwn Dova

3. Amekuwa akitumia taaluma yake ya sheria kukitetea chama hasa kwenye kesi za kisiasa, NK

4. Ameshiriki kuhakikisha mkoa wa Mwanza unakuwa chini ya CDM wakati akiwa chuoni, 2010 alihakikisha mawakala wa kusimamia kura ktk vituo wanatoka SAUT ikasaidi kupata ushindi ktk kata nyingi na majimbo ya Ilemela na Nyamagana, waulizeni kina Wenje na Highness. Yapo mengi na atafanya makubwa ndani ya BAVICHA. Kama kuna swali au wasiwasi wowote mnaweza kuuliza.
 
Kiukweli mwenyekiti wa sasa wa bavicha hawezi mfikia john heche hata robo tu. Bavicha ya leo imebaki kuvizia ziara za viongozi wakuu wa chama kitaifa! Haina vision ya kuwaamsha vijana. Hili halikubaliki kamwe.
 
simaanishi kama unavyo dhani ww. binafsi napenda sana challenges ambazo ni chachu ya maendeleo ya tz yetu. na kamwe siamini kamwe kama chama fulani ni cha kabila fulani au ukanda fulani i hate tribalism regionalism kila mzalendo wa kweli nitampa suport daima naipenda nchi yangu na nawapenda watanzania wenzangu.mungu ibariki afrika mungu ibariki tanzania
 
namjuwa patrobas na mimi binafsi si mwanachadema ni ccm damu nimesoma nae SAUT akiwa law four mimi nilikuwa law two alitupa taabu sana ktk kuimarisha tawi la ccm na asingekuwa mwenyekiti wetu kipindi hicho moud sijuwi ingekuwa vipi maana hata yaledy alizidiwa sana kete na akina patrobas. napenda sana nchi yangu isonge mbele bila kujali itikadi za vyama. tunahitaji vijana watakao fanya nchi yetu isonge mbele bila kujali itikadi zetu. tanzania ni yetu sote we have not to think only of ourselves we have also to think about our next generation. dogo patrobas anatoka kahama nijuavyo mimi jitahidini basi kuondoa dhana ya ukanda. you have to think big

Mkuu David Thomas umesema ukweli pasi shaka, you have try to prove the truth beyond the resonable dought big up kijana msomi, waeleze wasiomjua Patrobas, achilia mbali harakati zake na kutokuwa msaliti pia alikuwa best student na kupewa scholarship ya kusoma masters, jamaa ni jembe sana na chama kipo makini sana ktk kupata viongozi kuepuka usaliti kama wa kina Mwampamba na Chonza.
 
Mkuu David Thomas umesema ukweli pasi shaka, you have try to prove the truth beyond the resonable dought big up kijana msomi, waeleze wasiomjua Patrobas, achilia mbali harakati zake na kutokuwa msaliti pia alikuwa best student na kupewa scholarship ya kusoma masters, jamaa ni jembe sana na chama kipo makini sana ktk kupata viongozi kuepuka usaliti kama wa kina Mwampamba na Chonza.

Siasa haihitaji hayo mamasters yenu. Siasa ni mabarabarani sio maofisini na milaptop yenu. Ki ukweli patrobas haziwezi siasa za chadema. siasa za mavurugu na makelele, maandamano, hiyo bavicha angewaachia wehu akina ben ,heche, nanyaro mabange bange
 
hakuna amsha amsha bila suport ya chama iko wapi uvccm ya Dr. nchimbi wakati mwenyekiti wa uvccm kabla ya kikwete kuwa rais? iko wapi nguvu ya vijana kuwa kitu kimoja nchi nzima? kwanini tusijiulize wapi tumepoteana, kwanini tusijiulize watu gani wanajiona wao ni watanzania kuliko sisi na kwanini? we have to watch out!
 
Siasa haihitaji hayo mamasters yenu. Siasa ni mabarabarani sio maofisini na milaptop yenu. Ki ukweli patrobas haziwezi siasa za chadema. siasa za mavurugu na makelele, maandamano, hiyo bavicha angewaachia wehu akina ben ,heche, nanyaro mabange bange

sasa mkuu hizi siasa za harakati hata mwenyekiti Mbowe alisema sasa chama kinatoka kwenye chama cha kiharakati kuelekea chama kushika dola, hatuwezi kuwa na viongozi wa aina1 tu lazima pawe na radical leaders, think-tank, diplomatic nk nk ili kuelekea kushika dola. CHAMA HAAKIKUKOSEA KUMCHAGUA PATROBAS
 
Ndugu yangu tindo

Hayo ndiyo majembe ya BAVICHA!.

Hata mwaka haujaisha mmeshaanza kuwarushia ngumi?.

Wenzenu ni vijana wa kidijitali!.

Wanaendesha mambo kisayansi ya dijitali!.

Sasa mnataka wakafanye nini kwenye wakati mnasema CCM imeshindwa kwenye uchaguzi na pia kwa sasa CCM inajifia!

Au ndiyo zile lugha za propaganda. Mkitoka nje mnasema CCM imekufa lakini mkirudi ofisini mnaanza kutingisha vichwa!.

Sawa kabisa mwanadiwani, huku cdm hakuna kubembelezana tunataka matokeo. Ili wananchi wapate matunda bora toka kwa viongozi ni kuhakikisha hakuna kuwaacha walale. Tulitarajia hilo tulione kwa ccm, lakini huko kwenu wale wenye kashfa ndio hao wanaandika mpaka katiba ya wananchi ambayo ni lazima mtumie jeshi kuipitisha sio kwa kura, wengine ndio hao wanataka urais hata kwa kugawa fedha kwenye taasisi za dini. Yaani huko kwenu uzembe na wizi ndio sifa. Unategemea mwanadiwani mngekuwa mnachukua hatua au wangalau kuwa wakali kama alivyokuwa Nyerere leo chama chenu kingekuwa kinaongoza kwa kuuza unga na meno ya tembo? Mikataba ingekuwa siri? Hapo ndio ccm ilipotufikisha kama taifa. Mwanadiwani jitambue kaka yangu.
 
Patrobas ni mtu sahihi kwa BAVICHA kwa sasa, tuache majungu, tumpe mda, ni mtu wa harakati, mipango na mfia chama. Kama humjui fuatilia/tress back historia yake;

1.Wakati akiwa waziri wa katiba na sheria SAUT Mwanza na waziri wa sheria TAHILISO akipigania haki ya wanavyuo kupiga kura kwa kuibana serikali ifuate ratiba ya TCU kwa kuruhusu vyuo vifunguliwe ili wakapige kura.

2.Akiwa mwenyekiti wa CHASO CDM SAUT harakati alizofanya kukijenga chama na kuhakikisha serikali ya wanafunzi inakuwa chini ya CDM na alifanikiwa. Muulizeni aliyekuwa Rais wa SAUT/SAUTSO 2012/2013 BWN Godlisten Malisa na rais WA 2013/2014 Bwn Dova

3. Amekuwa akitumia taaluma yake ya sheria kukitetea chama hasa kwenye kesi za kisiasa, NK

4. Ameshiriki kuhakikisha mkoa wa Mwanza unakuwa chini ya CDM wakati akiwa chuoni, 2010 alihakikisha mawakala wa kusimamia kura ktk vituo wanatoka SAUT ikasaidi kupata ushindi ktk kata nyingi na majimbo ya Ilemela na Nyamagana, waulizeni kina Wenje na Highness. Yapo mengi na atafanya makubwa ndani ya BAVICHA. Kama kuna swali au wasiwasi wowote mnaweza kuuliza.


Mkuu...muda wa kampeni umepita

Hayo unayoyasema ni historia...well and nice

Ameshinda sasa

Tunataka tuone kazi inafanyika

Kama hatuoni tuna haki ya kuhoji haijalishi historia nzuri kiasi gani ya mwenyekiti
 
Acha waseme patrobas ni jembe.mbona vijana tunamkubali.juzi alikuwa kahama tumemwona anaweza.
 
Mwenyekiti wa Bavicha ni kijana wa Diallo.

MKUU Fresh ya shamba,

Taifa letu limekuwa na matatizo endelevu kwa sababu ya wengi wetu kuishi nje ya historia na matukio ya kukumbukwa. Inachekesha leo hii kumwita Patrobas kijana wa Diallo eti kwa sababu aliajiriwa na kampuni ya Sahara inayomilikiwa na Diallo, inashangaza kwa kuwa ukityumia akili kidogo tu utang'amua kuwa Patrobas ni miongoni mwa wanachama waanzilishi wa tawi la CHADEMA SAUT, Mwanza ambapo katika uchaguzi wa viongozi wa kwanza kuongoza tawi hilo yeye aligombea nafasi ya Mwenyekiti na kushika nafasi ya pili na Heche alichaguliwa kuwa Katibu.


Si bure bila shaka Hoja ya kumwita kijana wa Diallo bila shaka inatoka kwa wale walioumizwa na matokeo ya uchaguzi.
 
simaanishi kama unavyo dhani ww. binafsi napenda sana challenges ambazo ni chachu ya maendeleo ya tz yetu. na kamwe siamini kamwe kama chama fulani ni cha kabila fulani au ukanda fulani i hate tribalism regionalism kila mzalendo wa kweli nitampa suport daima naipenda nchi yangu na nawapenda watanzania wenzangu.mungu ibariki afrika mungu ibariki tanzania

Ni Kweli Mkuu, Tuache Ushabiki Huyu Jamaa Yuko Makini Sana. Hizi ChokoChoko Si Nzuri Na Inawezekana Kuna Kitu Behind The Scene.
 
Nawasalimu wote...

Kwanza nina declare interest kuwa Nampenda sana huyu kijana mwenyekiti wa Bavicha, namfahamu sana tangu namfundisha kidato cha kwanza hadi cha nne hapo Nyegezi Seminary. Lakini pia akiwa anafanya practical training zake pale mahakama ya mkoa Shinyanga alikuwa anapenda sana kunitembelea nyumbani kwangu na tulijadili mambo mbalimbali ya kimaendeleo na mitazamo ya kimaisha. He is a brilliant, humble and determined boy.


Lakini BAVICHA ninayoifahamu ile ya Heche sio hii ninayoiona chini ya uongozi wake Patrobas. Tangu kuisha kwa uchaguzi mkuu na kijana wangu kupewa heshima hiyo kubwa kabisa sijawahi kumsikia kwenye vyombo vya habari, mikutano ya kuamsha na kutia hamasa kwa vijana. Wanachama wengi wa Chadema ni vijana, na wakati huu ndipo tunaelekea kwenye kazi pevu na sioni dalili za kusikia falsafa za mwenyekiti wa BAVICHA mpaka sasa tangu apewe dhamana hii.

Tunataka kuona moto mkali kutoka huko juu, huku kwenye serikali za mitaa nadhani pameanza kueleweka na adui yetu ameshasoma alama za nyakati na anajiandaa kujihami kwa kutumia mbinu zake za kishetani. Kama mwenyekiti wa Bavicha utapita hapa au kusikia jambo hili juu ya ukimya wako, ni vema ukasema sababu za ukimya wake kama una faida kwa vijana watanzania walio nyuma yake. Jitokeze tafadhari, tueleze kama bado unapikwa bado...
 
Pole sana kwa ubaridi ulioupata kwa kutomwona huyo kiongozi. Nadhani atukusikia atakushughulikia hadi ujisikie joto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom