Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 579
- 887
Wanajamvi sijui ni mimi pekee au na wenzangu mnaona. Nilitarajia moto mkubwa zaidi na harakati kali zaidi kutoka BAVICHA mpya zaidi ya zile za Heche hasa katika masuala nyeti ya kitaifa kama Escrow nk, ila cha kushangaza sisikii kashikashi zozote kutoka Bavicha wala sijaona harakati za kiujanaujana zinazotingisha nchi toka wamechaguliwa vipi kulikoni wanajamvi?
Nimefurahi kumuona Heche juzi akiendelea kupambana kwa kuwahamasisha vijana kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ila sijasikia Bavicha wakihamasisha mambo hayo wala masuala nyeti ya Kitaifa zaidi ya ile ziara ya Mbowe aliyofanya nao na perfomance yao haikuwa nzuri ya kuwafanya waonekane wapo sasa sijajua BAVICHA kulikoni wako wapi?
Bawacha, Mdee yuko Bungeni nyie mko wapi?
Nimefurahi kumuona Heche juzi akiendelea kupambana kwa kuwahamasisha vijana kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ila sijasikia Bavicha wakihamasisha mambo hayo wala masuala nyeti ya Kitaifa zaidi ya ile ziara ya Mbowe aliyofanya nao na perfomance yao haikuwa nzuri ya kuwafanya waonekane wapo sasa sijajua BAVICHA kulikoni wako wapi?
Bawacha, Mdee yuko Bungeni nyie mko wapi?