GE2025 Heche akiri kama kutakuwa reforms ndogo zinazowezekana CHADEMA itaingia kwenye uchaguzi, asema kuna mambo ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu

GE2025 Heche akiri kama kutakuwa reforms ndogo zinazowezekana CHADEMA itaingia kwenye uchaguzi, asema kuna mambo ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
"Kuna watu waliniuliza kama mna minimum reforms ambazo zikifanywa mnaweza kuingia kwenye uchaguzi, nikaambia Yes, kwa sababu sisi sio watu wa kuongea ongea, tumeandaa paper iko serikalini, Lakini vilevile sisi sio vichaa kwa sababu tunajua kuna mambo ambayo ni ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu, kwa hiyo kuna vifungu kadhaa kadhaa tunaweza kuvifanyia marekebisho, lakini major reforms za kubadilisha katiba nzima tukakubaliana tutaenda mbele.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche ameyasema hayo leo Agosti 19, 2025 katika mahojiano maalum kupitia kipindi cha Morning Trumpet cha UTV

 
"Kuna watu waliniuliza kama mna minimum reforms ambazo zikifanywa mnaweza kuingia kwenye uchaguzi, nikaambia Yes, kwa sababu sisi sio watu wa kuongea ongea, tumeandaa paper iko serikalini, Lakini vilevile sisi sio vichaa kwa sababu tunajua kuna mambo ambayo ni ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu, kwa hiyo kuna vifungu kadhaa kadhaa tunaweza kuvifanyia marekebisho, lakini major reforms za kubadilisha katiba nzima tukakubaliana tutaenda mbele.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche ameyasema hayo leo Agosti 19, 2025 katika mahojiano maalum kupitia kipindi cha Morning Trumpet cha UTV

View attachment 3446378
Ndio mwanzo wa kula matapishi yao. Wataingia kwenye uchaguzi kwa kanuni zile zile walizokataa kusaini?

Amandla...
 
Unaelewa maana ya reforms?

Hata mkurugenzi wa tume ya uchaguzi anatakuwa kuondoka na kanuni zake
Unaelewa maana ya reforms NDOGO?

Kama Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ataondoka na kanuni zake, hizo hazitakuwa reforms ndogo. Kanuni mpya zitatakiwa kuandikwa na kupitishwa na vyama vyote vya siasa.

Hapa inatafutwa namna ya kuingia kwenye uchaguzi bila mayai usoni mwao.

Amandla...
 
"Kuna watu waliniuliza kama mna minimum reforms ambazo zikifanywa mnaweza kuingia kwenye uchaguzi, nikaambia Yes, kwa sababu sisi sio watu wa kuongea ongea, tumeandaa paper iko serikalini, Lakini vilevile sisi sio vichaa kwa sababu tunajua kuna mambo ambayo ni ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu, kwa hiyo kuna vifungu kadhaa kadhaa tunaweza kuvifanyia marekebisho, lakini major reforms za kubadilisha katiba nzima tukakubaliana tutaenda mbele.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche ameyasema hayo leo Agosti 19, 2025 katika mahojiano maalum kupitia kipindi cha Morning Trumpet cha UTV

View attachment 3446378
uchaguz mkuu wa Tanzania ni October 29,2025, hizo ramli muendelee kuzifanya kwenye vyama vyenu tu,

eti ng'we ng'wee ng'we, lofa kweli huyo mwalimu 🐒
 
"Kuna watu waliniuliza kama mna minimum reforms ambazo zikifanywa mnaweza kuingia kwenye uchaguzi, nikaambia Yes, kwa sababu sisi sio watu wa kuongea ongea, tumeandaa paper iko serikalini, Lakini vilevile sisi sio vichaa kwa sababu tunajua kuna mambo ambayo ni ya kikatiba yanaweza kuchukua muda mrefu, kwa hiyo kuna vifungu kadhaa kadhaa tunaweza kuvifanyia marekebisho, lakini major reforms za kubadilisha katiba nzima tukakubaliana tutaenda mbele.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche ameyasema hayo leo Agosti 19, 2025 katika mahojiano maalum kupitia kipindi cha Morning Trumpet cha UTV

View attachment 3446378
Je ni coincidence na alichoongea Gwajima?
 
Back
Top Bottom