Mleta maada we ni mpumbafu sana unasema miss Uganda kawa Wa tano cha ajabu hujasema huyu miss wetu kawa wangap una akili kweli wewe? Iv waandishi Wa habar Wa tz ni lini mtapata akili?
Jina tu la mshiriki lilitosha kutuondoa mapema. Nadhani majaji walidhani kuwa uingereza imepeleka washiriki wawili. Kwa nini tusidhamini majina yetu? nina hakika huyo mshiriki analo jina la kiasili hata la ukoo, lakini akaona atumie majina ya kukopa toka uingereza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.