Hebu tuongeeni ukweli

Ni hivi wadau jamii forum asilimia yao kubwa sio matapeli ila ni waongo or hawana muda.
Binafsi hapa nakuunga mkono.Muda mama ndio tatizo mambo ni mengi muda ni mchache so wana kwenda RESI..
wasamehe bure..
 
jichunge wewe kwanza nyendo zako.

au unahitaji nini zaidi kwa watu wa JF?
 
Kupata almasi au dhahabu si rahisi mkuu,lazima upambane kweli kweli;na unaweza ukapambana na usiipate;Namaanisha katika jamii yoyote ndio iko hivyo.
 
Asante mh spika kunipatia nafasi hii hapa tatizo lipo kwa wwe unae amini watu wanao tumia fake ID we unakurupuka
Hakuna alishakuja mwaka juzi nimtu nimemzoea ila alitaka nimiamini na sasa nimeweza juzi hapa hatarii.
Nimemuona kabisa
 
Kupata almasi au dhahabu si rahisi mkuu,lazima upambane kweli kweli;na unaweza ukapambana na usiipate;Namaanisha katika jamii yoyote ndio iko hivyo.
Kwanini mnakuwa waongo nani wanaume kama ni mwanamke nisawa utaelewa.
 
Ingawa siyo wote wenye tabia ulizozitaja….katoto kazuri.
Don't generalize, move from general to particular.
Hopefully you gonna prove yourself wrong.
Ndo tatizo lake kubwa mkuu.anageneralize Sana na tabia hii itamkost
 
Umeongea ukweli mtupu humu watu hawako serious , kupitia Jf nimeamini hamna mapenzi ya kweli kwny mitandao , full uongo humu.
 
Demu nibora umpatie mitaani alafu badae ugundue nayeye nimember wajf ila usiombe ukutane namtu humu alafu kumbe namitaani yupo wallah mtakuwa mnawindana kama Palestina na Israel atakayemuwahi kumlipua mwenzake ndio mshindi huyo..... Je utakubali kushindwa? So utakachofanya nikumlipua kabla nayeye ajawaza kama mawazo unayowaza wewe.
 
Duh mtu kaliwa pesa kumbe aisee wadada wa mjini ni nyoko sana mtu mzima kaingizwa kingi sasa wewe katoto kazuri embu fanya basi uyo aliyekula mipesa iyo atoe kipochi manyoya icho
Kanijia pm nikawa best yake akapropose kitu cha pesa nyingi nikamuunganishia mtu akamtapeli sasa naonekana tumekula njama na mimi ni mwanafunzi jamani nitarudishaje hela za watu??.
 
Katika thread zote zakatoto kazuri naombeni hii muwe serious kidogo maana mchango wenu waweza kuwa nimuhimu Sana kwake yaani kwakifupi ameshaliwa huyu so utani wekeni pembeni jaman
 
Sio hapa tu kila sehemu na kila mtandao wa kijamii watu wa dizaini zote wapo ni ww tu kuwa makini.
 
Umeongea ukweli mtupu humu watu hawako serious , kupitia Jf nimeamini hamna mapenzi ya kweli kwny mitandao , full uongo humu.
ha ha ha ha ndio wale wakikutana 'live' wanaanza kukimbiana na kuzimiana simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…