Hebu tuongeeni ukweli

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Ni hivi wadau jamii forum asilimia yao kubwa sio matapeli ila ni waongo or hawana muda.
Halafu wewe unaweka maanani kuwa mtakuwa pamoja au ni wafuture .
Sijui kwa wengine.
Ila nasema ukweli kuwa humu hakuna mtu ambaye yupo serious .
Sana sana mahusiano .
Humu nikuwachora wengine na kuwapotezea muda kabisa.
Halafu humu wengi hawana pesa .
Humu ndani wengi wao wanajiona wapo juu uhalisia hawapo juu wala kawaida sana.
Namalofa wapo wengii tu.
Ndio maaana ukisema ukweli wanakuita malaya .
Humu wapo kila aina ya watu ambao hawapo serious nani waongo sana
 
Isipokuwa kuwa Mimi tu, sijawahi kufake huwa najaribu kuwa muwazi ingawa wapuuzaji ni wengi.
 
aisee mimi nipo serious kabisa na mahusiano ya hapa jf ila cjapata aliyeserious kama mimi naomba nisaidie basi kumpata aliyeserious kama mimi
 
wewe upo kundi gani kati ya hayo uliyoyaelezea?
 
Unamuongelea nyete au ila jf ya sikuhizi haina ile mikato ya kidon tena,nyuzi za kuomba michango na misaada zimetamalaki watu wanalia shida kweli.
NB.Sogea hapa African Tulip unywe soda mtoto mzuri.
 
90% umeongea ukweli ingawa tupo wachache ambao sio matapeli (ingawa uongo mtakatifu tunao). Mimi binafsi nimepata mwandani humu JF na ki ukweli PM za majamaa kwake ni moja ya starehe yetu. Sio matajiri lakini sio malofa. Cc my baby... Usikoment chochote.
 
Ingawa siyo wote wenye tabia ulizozitaja….katoto kazuri.
Don't generalize, move from general to particular.
Hopefully you gonna prove yourself wrong.
 
Mkweli niko mimi tu humu,
Mimi ni muuza kiepe, sina gari sina baiskeri kitu pekee ninachomiliki ni gheto langu la kuwagongea mademu,

Sema mademu wa humu nikiwaambia hivyo wanasema eti nawaongopea.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]


Cc Zero IQ
 
Unamuongelea nyete au ila jf ya sikuhizi haina ile mikato ya kidon tena,nyuzi za kuomba michango na misaada zimetamalaki watu wanalia shida kweli.
NB.Sogea hapa African Tulip unywe soda mtoto mzuri.
Eh nice asantee ila nimeingizwa mjini jamani saivi nalia na shida zangu
 
Najua mwaya
 
Pole sana katoto kazuri ila mama c alikukataza kucheza na wanaume kwa kuwa wanang'ata?
 
Asante mh spika kunipatia nafasi hii hapa tatizo lipo kwa wwe unae amini watu wanao tumia fake ID we unakurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…