Hivi unakumbuka kipindi kile ukiwa bado mtoto siku za sikukuu kama vile Eid, Xmas na Pasaka ukishakula pilau yako na kuvaa nguo mpya mchana ulikuwa unaenda kutembea wapi? Wale waliokulia dar wengi wao walikuwa wanaenda MANZESE DARAJANI kupiga picha kama sio kushangaa tu! Na kama sio manzese basi walikuwa wanaenda UWANJA WA NDEGE! wewe je?