Hebu tuache kuzaana sasa, hali ni ngumu

sinajinasasa

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
2,989
4,130
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.

Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.

Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu. Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.
 
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.
Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.
Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.
Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu.
Ardhi ni hii hii haipanuki.
Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.
Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa.
May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'.
Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.
Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.
Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.
Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.

Nilikuja bongo huko kila ukipishana na wanawake 10 6 kati Yao sana vichanga.... masikini wanazaliana sana.
 
Kwa akili yako wote tukimaliza mapori ikolojia itakuwaje?
Ni sawa na uvae suruali yenye kiuno cha sentimita 200 wakati kiuno chako ni sentimita 20,humo ndani patakuwa kama puto;kwa hali hiyo hata ile robo tu ya kujaza maeneo bado hatujafikia.
 
Kuna mzee mmoja alizaa mtoto mmoja tu, na akajitahidi kumpatie elimu ya uhakika huko ng'ambo; mtoto alipomaliza elimu yake ya juu-PhD akarudi nyumbani, baada ya muda fulani kupita mtoto akaugua na hatimaye Mungu akampenda zaidi; hapo mzee alichanganyikiwa, hajui afanye nini. Kwa ujumbe huo,ukiamua kuzaa au kutokuzaa kabisa jiandae kwa lolote ukiwa mzee.
 
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.
Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.
Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu.
Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.
Watu wanazani kuzaa sana ni sifa.

Wazungu wenyewe wajanja, walishaliona hili mapema. Ndo maana hata kama mzungu ni tajiri kiasi gani, mwisho ni watoto wawili akizidisha sana watatu.

Kama vp watu watumie njia za waarabu.
 
Watu wanazani kuzaa sana ni sifa.

Wazungu wenyewe wajanja, walishaliona hili mapema. Ndo maana hata kama mzungu ni tajiri kiasi gani, mwisho ni watoto wawili akizidisha sana watatu.

Kama vp watu watumie njia za waarabu.
Ndo maana Waarabu wanasema baada ya miaka 50 ijayo, kuna asilimia kubwa Uingereza itakuwa dola yao..
 
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.
Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.
Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu.
Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.
Watu wanakufa ili wengine wazaliwe
 
....food production will not be able to keep up with growth in the human population, resulting in disease, famine, war, and calamity......."Thomas Malthu"

 
Back
Top Bottom