Hebu tuache kuzaana sasa, hali ni ngumu

Kwa mujibu wa maarifa ya kimungu hakuna limit katika kuzaa watoto, maana Mungu Mwenyezi katika ahadi zake kwa Ibrahim alisema uzao wake utakuwa sawa na mchanga wa bahari, yaani hautahesabika na utabarikiwa kwa kila hali. Lakini tukija kwenye maarifa ya kidunia ambayo yapo influenced na mamlaka ya kishetani ndo tunaanza kuongelea mambo ya population control. Kwa hiyo unapoongelea watu kuthibiti uzazi wao unaweza kujikuta unakufuru kwa mujibu wa maarifa ya ufalme wa mbinguni..........lakini unakuwa upo sahihi kwa mujibu wa maarifa ya kidunia.​
 
Nasema wacha watu wanyanduane na wazaliane.
Mapori ni mengi sana bado nguvu kazi inahitajika sana nchi yetu ifike uchumi wa juu kabisa kama USA.
 
Ungefika wilaya ya Nkasi mkoa huo huo wa Rukwa ungechoka kbsa
Huu ni ukweli kwa 100%, nilienda kalambo(wilaya mojawapo ya mkoa wa rukwa), aiseee kila ukikutana na msichana mwenye umri kuanzia 20+ ni ana mimba au mtoto mdogo.
 
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.

Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.

Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu. Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.
Shida sio watu wanataka tu kuzalishana tu hovyo hovyo , bali ni shida za genye huwa zinazidi akili
 
Kondom haijawahi kuleta utamu sijui kwa wengine ila sionagi kitu, hapa njia ni kumwaga njee tu
 
Ila corona imepunguza sana population usisahau hii factor, so hatuko kwenye sehemu mbaya sana, ila nachopendekeza mimi ni uzae watoto unaweza kuwamudu kuwapa huduma zote
 
Halafu pia tambau njia za mpango wa uzazi nyingi ni failure, zina side effect nyingi na nyingi zinawakataa wengine hujikuta ameconcive pasipo tegemea,
 
UMEDANGANYWA ONGEZA SPIDI ,
NASEMAJE
NASEMA HIVI
USITAKE KUPINGANA NA MUUMBA , MWENYEZI MUNGU ....


TU ZA LI ANE.
 
Idadi ya watu wengi ikitumiwa vizuri, Hupelekea Taifa hilo kua kubwa kiuchumi.

By the way Tanzania na Africa bado tunawahitaji sana hawa watu ili tuzidi kuendelea kwenye kila nyanja. Asante.
 
Huu ni ukweli kwa 100%, nilienda kalambo(wilaya mojawapo ya mkoa wa rukwa), aiseee kila ukikutana na msichana mwenye umri kuanzia 20+ ni ana mimba au mtoto mdogo.
Haha sure mkuu, huku watoto wa 2000 wana watoto 2+ kuna kijiji kinaitwa Kisumba, kuna watoto ni utitiri. Watu wanazaana mbaya.
 
Akili kama za mwendazake hizi! Hivi Tanzania ukilinganisha na Australia ni ipi yenye eneo kubwa? Na ni ipi yenye idadi ya watu wengi?

Ni nani anayepokea msaada kutoka kwa mwingine?
Tanzania hatuna overpopulation, eneo ni kubwa sana lisilokaliwa na watu kuliko kwenye watu hatujawafikia hata wachina
 
Aliyezaa 10 na akazika wote unasemaje?
Kuna mzee mmoja alizaa mtoto mmoja tu, na akajitahidi kumpatie elimu ya uhakika huko ng'ambo; mtoto alipomaliza elimu yake ya juu-PhD akarudi nyumbani, baada ya muda fulani kupita mtoto akaugua na hatimaye Mungu akampenda zaidi; hapo mzee alichanganyikiwa, hajui afanye nini. Kwa ujumbe huo,ukiamua kuzaa au kutokuzaa kabisa jiandae kwa lolote ukiwa mzee.
 
Uzidhani wazungu wamelala kiasi hicho, kama walikuletea Panadol hawashindwi kukuletea viangamizi. Mwarabu amekuletea nini zaidi ya dini

Angalizo: Mwenye maarifa ndiye atakayedumu kwenye hii dunia
Ndo maana Waarabu wanasema baada ya miaka 50 ijayo, kuna asilimia kubwa Uingereza itakuwa dola yao..
 
Uzazi umepungua mijini, vijijini na mashambani, kazi iendelee.
Na inaendelea kweli.
Haha sure mkuu, huku watoto wa 2000 wana watoto 2+ kuna kijiji kinaitwa Kisumba, kuna watoto ni utitiri. Watu wanazaana mbaya.
Daah, nilitembelea matai, kateka, motochini, kizombwe, kisungamile, msanzi, mambwe, kaseshya na vingine kadhaa aisee hali ni mbaya boss.
 
Te
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.

Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.

Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu. Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.
Hli swal la kuza watoto wchache lipo huko hapa tz tuzae tu m natgemea mwaka ujao niongeze mtoto wa tatu nipate kakiume
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom