Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Jamani kutakuwa na tatizo la Mafuta shell kuanzia tarehe 26 up to 4 days so chazeni mafuta ya kutosha kwenye magari yenu,pia kutakuwa na tatizo la network kwa upande wa luku pia kuweni makini!
Lingine ni kuhusu dola ya marekani inapanda mpaka 2000 Tsh maana nchi inajiendea tu wazee poleni kwa information hii muhimu!!!!!!!
Lingine ni kuhusu dola ya marekani inapanda mpaka 2000 Tsh maana nchi inajiendea tu wazee poleni kwa information hii muhimu!!!!!!!