Hebu soma notice board kuna tangazo muhimu.

Hebu soma notice board kuna tangazo muhimu.

Siyo rahisi. Labda Computer yako iwe ya Kichina na uchukue maandishi yalivyo pale ubaoni na uyaweke kwenye Computer na ndiyo uje uweke tafsiri. Pia ukichukua maandishi ya watu8 kwenye google translator, hayaleti maana nzuri na kama hujui Kichina, utakuwa huna uhakika wana maanisha nini.

Kumbuka tena kuwa maandishi yalikuwa kwenye PICHA na yeye akaleta tafsiri. Labda awe na Mchina hapo Pembeni yake.
Naye ali GOOGLE vilevile
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha na ile hospital yao SINO walikuwa wanatumia kichina kuandika dawa!!! Kudadeki!! Haya yanawezekana kwa Tanzania tu.
 
Kumbuka tena kuwa maandishi yalikuwa kwenye PICHA na yeye akaleta tafsiri. Labda awe na Mchina hapo Pembeni yake.

Ha ha haa.......nimekupata mkuu..vinginevyo KUDOS kwake

111005014509-asian-woman-black-man-mirror-couple-kiss-story-top.jpg
 
Ha ha ha na ile hospital yao SINO walikuwa wanatumia kichina kuandika dawa!!! Kudadeki!! Haya yanawezekana kwa Tanzania tu.

mmmh mkuu kuna ukweli hapa???...mbona pale kuna Wakalimani na wengine nilikua nawafahamu kabisa
 
mmmh mkuu kuna ukweli hapa???...mbona pale kuna Wakalimani na wengine nilikua nawafahamu kabisa

Mkuu kabla haijapigwa pin na wale wakaguzi wa Wizara ya Afya ilikuwa ni madudu pale!!! Kama kuna wakalimali basi ni mageuzi baada ya pin!!
 
Mkuu kabla haijapigwa pin na wale wakaguzi wa Wizara ya Afya ilikuwa ni madudu pale!!! Kama kuna wakalimali basi ni mageuzi baada ya pin!!

basi hiyo ilikua balaah...najaribu kufikiria uandikiwe hiyo miandishi kwenye dawa si ugonjwa unaweza kukuzidia zaidi!!
 
Back
Top Bottom