ww kama upo serious ni mp namba yako nikuunganishe naye ili tubadilishane matatizo
1. Wewe ulikuwa na malengo gani na huyo mrembo kabla ya kuonana?
2. Je, baada ya kuonana na "kumjua" malengo yako kwake yalibadilika? Kivipi?
3. Kwa nini unadhani baada ya "kumjua" siku ya kwanza kukutana hafai kuwa mke?....wewe ulitazamia mjuane baada ya mda gani?
sikuwa na malengo naye nilitaka kupiga na kusepa. Kuwa mke anasifa zote na ni mzuri kweli ila sina iman nayeye kama ni mwaminiifu au ni kicheche
Hebu kaa kimya wewe, ushawahi kuona wapi mzinzi anapewa ushauri!!!
We pimbi unaonekana ni kitombi tena mzinzi mkubwa ngoja nipate wasaa tu, nitarudi hapa nikitulia vizuri...
Mkuu naomba unisaidie kidogo, kwa nini useme huna imani naye? Au kwa vile ulimpata mtandaoni?
unajua mkuu kitendo cha kuonana mtandaoni, kuvuana nguo pasipo kufahamiana vizur tena anataka ndoa wakat hanijui tbia yangu nami smjui tabia yake. Nilimpeleka nyumban kwangu lakin yale sio makaz yangu kamili ni kageto huwa nafikiaga na hakana chochote ndani zaid ya kitanda na kasofa kadogo
tafuta wa kwko unataka vya bure ww ni joka la kibisa?