Hebu nipeni ushauri wanajamvi

Hebu nipeni ushauri wanajamvi

Hewalaaaaa!!!

Huu ndio wakati niliokuwa nausubiri...ukimwaga mboga sisi tunamwaga ugali...

Thread No. 1 : 16th October 2013

https://www.jamiiforums.com/love-connect/539051-natafuta-mchumba.html

Katika thread ulikuja hapa kutafuta mchumba, ni kitu chema mwanaume au mwanamke kusaka mchumba.

Thread No. 2 : 28th December 2013

https://www.jamiiforums.com/mahusia...angu-ni-lip-na-ungekuwa-wewe-ungefanyeje.html

Mara hii ukarudi tena na hii thread ukijawa na malaumu na vilio vya kivulana, ukalalama kwamba unahisi mchumba wako amekucheat.

Kwa haraka mtu anaweza akafikiri ni huyo mchumba uliyempata baada ya bandiko la Thread No. 1 hapo juu.

Lakini ndani ya thread hii umebainisha kuwa umekuwa na mahusiano na binti huyo kabla hata hujaja hapa kutafuta mchumba, au kwa lugha nyepesi ni kuwa wakati watafuta mchumba hapa JF ulikuwa na girlfriend huko kitaa.

Nanukuu:


Leo unakuja hapa ukijifaragua namna ulivyofanya ufirauni wako na kuomba ushauri kama vile hujui ulilofanya ni kosa...

Si ajabu huyo uliyomtenda ni yule uliyempata baada ya bandiko lako la uchumba humu ndani, na mbaya zaidi ulimpata huku ukiwa na mwanamke mwingine...

Je kwa nini mtu wewe tusikuite mzinzi kama sio muasherati?

Muogope Mungu kijana....

yeye anajua tumesahau kumbe kuna vichwa humu
 
Yan ww c mzma, umekutana na mdada wa jf mmefanya hayo yote then unayaleta tena humu.
Akiiona hii thread unadhani atakuwa na hamu na ww tena.
Inaonyesha ni jinsi gani ulivyomlopokaji.!!

Amemdhalilisha saana saana. Na majibu anayotoa hana hata guilt Conscious!
 
Ulimtamani haukumpenda,..
Mkipewa papuchi kwa haraka mwasema haaminiki mukicheleweshewa anaringa khaa..
Mdada wa watu kajitolea wee lakini ndo hivyo haumuamini,
mbona yeye kakuamini bila kuzingatia huo umbali wenu?
...

Cjui wafanyiwage nini hawa watu khaaa eti cmwamini koz kanipa papuch haraka angechukua mwaka ungesema ooo kuna washkaji wanansaidia hvi nyie viumbe mnawendawazimu eeee
 
Ooh eti alinivuliaje chupi wakati hanifahamu, nikuulize tu we ulipokuwa unavua boxer yako ulikuwa unamfahamu? Yaani nashangaa sana hili jukumu la kujitunza wanapopewa upande mmoja tu yaani “ke“ kwani “me“hawapaswi kujitunza? Na wewe ulitakiwa ujifikirie fikirie mara mbili kwamba mdada haumfahamu, haujui background yake kisha ufanye maamuzi. Kujirahisisha kwake kusiwe tiket ya wewe kumtumia tu utakavyo hata bila kujali afya yako kijana.

Afu anajidai eti alimpenda nyooo unajua maana yakumpenda mtu wewe dogo eeee.afu nahisi huyu ni dogo wa secondary amekula ada sasa shule zimefunguliwa ajarudi kilichobaki uzinzi koz a matured man cant be as silly and stupid as you.shame on you.rudi kwa mshua kamweleze umekula ada akupe urudi shule khaaa
 
ondoa uvulana wako humu .............

km siyo Ban ningekushushia matusi mazito mazito humu...............
 
sikuwa na malengo naye nilitaka kupiga na kusepa. Kuwa mke anasifa zote na ni mzuri kweli ila sina iman nayeye kama ni mwaminiifu au ni kicheche
kwa hiyo wewe sio kicheche kwa tabia zako hizo, ulipovua boxer yako ulikuwa unajua unamwabudu Mungu
 
unaogopa nini hasa?mbona ulisema unampendaaa?unaagiza chakula halfu unaoagopa kukila?ulitaka nini hasa kwake ulipomwita mpaka akakufuata huko,inavyo onekana na wewe hujui unachotaka kwa huyo binti,kaa chini ujitafakari na uchukue hatua...
 
Afu anajidai eti alimpenda nyooo unajua maana yakumpenda mtu wewe dogo eeee.afu nahisi huyu ni dogo wa secondary amekula ada sasa shule zimefunguliwa ajarudi kilichobaki uzinzi koz a matured man cant be as silly and stupid as you.shame on you.rudi kwa mshua kamweleze umekula ada akupe urudi shule khaaa

hahahaaaa!! Sasa hvi anawaza ataipata wapi hyo ada aliyo kula
 
Jamani kumbe kuna watu wanaabuse akili za watu yaani hapa mtu unawezajikuta unajipinda ukitafuta na vitabu vya reference utoe ushauri kumbe............aksante watu8. Haya kaa nae chini umwambie kuwa bado ni mapema sana kuwahusisha wazazi, kama anakupenda kweli atakuelewa na kusubiri lakini kama anakimbilia ndoa tu utamjua
 
Last edited by a moderator:
unaogopa nini hasa?mbona ulisema unampendaaa?unaagiza chakula halfu unaoagopa kukila?ulitaka nini hasa kwake ulipomwita mpaka akakufuata huko,inavyo onekana na wewe hujui unachotaka kwa huyo binti,kaa chini ujitafakari na uchukue hatua...

kijana siwez kufanya papara kias ambavyo mnataka nyie
 
Nmegundua kitu kuwa ndio maana ndoa nyingi haziishi migogoro na nyingi zinavunjika tatzo wanaume tunakurupuka sana. Yaani mwanamke akikuvulia nguo tayar anafaa kumweka ndan kuwa mke looh!! Je, akiwa changudoa?!
 
ufanye papara mara ngapi mbona ulshafanya sana,kama siyo papara unakutana na msichana online halafu unamwalika halafu unafanya ulichofanya halafu unasemasiyo papara?acha kujibaruguza wewe,acha kuleta mambo ya utoto kwenye mitandoo kama kama hii....hujakua bado....
 
Back
Top Bottom