Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,568
kaka nakwambia nilikuwa napita
acha tabia za kuanikana. HAYA MAMBO WAACHIE UNDER 20.
kaka nakwambia nilikuwa napita
Moja,
Kuandika(Uandishi) wa bila vituo unachosha sana.
Pili, hivi huoni hata kama ukipata ushauri mzuri na mlikutana humu(possibly yeye bado ni JF member) itahatarisha uhusiano wenu?
Naomba kuuliza, ni kwanini unasema wewe ndio uliyevutiwa zaidi kwake? Ulipimaje hili.
Nafikiri, ninyi wawili wote ndio wenye kuamua uhusiano wenu toka mara ya kwanza kuwasiliana, kuonana n.k. Yaani mlipanga uhusiano wenu uweje.
Suala la kutambulishana mapema kiasi hiki(mapema kwa maana mawasiliano yenu yanaonekana yako less physical, na 'fiziko' hapa simaanishi kukutana kimwili ila uwepo wenu wa kimwili bila kuhuusisha ngono).
Either, she is too desperate au she is trully into you. But i highly doubt of the later kwa sababu, ya jinsi ya kukutana kama ulivyoeleza.
banana ..yes ndizi mbivu..lol i need to change my signature..watu mnawaza nje ya boxnever make eye contact when eating banana? mnhhhhhhh
Aisee!kuna watu mna shahada za kutukana wengine, yani unajidai kuomba ushauri huku una mtukana!
HIVI LENGO LAKO LILIKUWA NINI KUMPELEKA KWA HOTEL? ALIKUBAKA? ACHA UTOTO.
HATA UJUI UMEANDIKA NINI! YANI UNASHANGAA KUVULIWA CHUPI ALAF UNA SAHAU KUSHANGAA KUVUA BOKSA KWA USIYE MUAMINI.
Habar zenu kwa kila mmoja: naam bila kupoteza mda niende kwenye maada kuna dada mmoja nilibahatika kukutana naye humu jukwaan, tukapeana namba za simu mawasiliano yakaendelea lakin huyu dada tunakaa mikoa tofauti baada ya mawasiliano kukolea tukaamua kutumiana picha ikatokea kila mmoja kuvutiwa na mwenzie lakin mm ndio nilivutiwa zaidi na picha yake baada ya hapo tukapanga kuonana ikabidi nimuombe anifute mkoa ninaoishi, dada wa watu bila hiyana akaja. Kweli tukaonana sku hiyo kila mmoja aliduwaa kumshangaa mwenzie lakiin mm ndio nilivutiwa sana na yule dada kiukweli ni mzuri sana anakila sifa yule dada nilitokea kumpenda kupita kias na sikuamin kama ni binadamu wa kawaida nilifikir ni jini.... Naam baada ya hapo nikachukua taksi mpaka hoteli flani kiukweli hata yeye alifurahi sana kuwa na mm, siku hyo ilikuwa yafuraha sana kwangu ikabidi tuhamie sasa kwenye ulimwengu ulee ikafikia hatuua huyu bidada alitaka niende naye nyumban kwangu akakufahamu nami nikampeleka basi tokea hapo huyu dada anataka anipeleke nyumban kwao tutambulishane. Ushauri unahitajika hapa: huyu dada hatufahamiani vizur kwann anakuwa na haraka hivyo tena jambo lingine simuamini kabisa kama aliweza kunivulia nguo wakati hata hatufahamiani vizur je kwa wengine atashindwa vp? Japo nmejaribu kumpeleleza sana kazin kwake hakuna sifa mbaya yeyeanafanya kazi ya unesi kiukweli wanajamvi simuamini kabisa huyu dada japo yeye anaonesha kunipenda sana hata mm nampenda ila iman naye sina naomba ushauri wenu
yaani ndugu watu wengine wanapenda kuwaona wenzao wana kasoro ilhali na wao wanakasoro hizohizo
sijakataa kuwa sina kasoro kumbuka tulikutana kwaajili ya kupigana na kusepa lakin mwenzangu anataka kupack basi.......ungekuwa ww mmekutana katka mazngira hayo ungeweza kuoa kweli??