He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

HAHHAHAAAAAA! Wenzio sikio la kufa hatusikii dawa! Shosti una bahati! Umempata Emolo katulia, anakujali mweeeee! Pata picha wenzio tupate Emolo suguuuu! Emolo hashikiki, haambiliki afu emolo si ubaweza kudata wajameni! Bora Tall akikupasua kichwa unawaringishia mashosti mtaani huku wafa kimya kimya!
Cc Muke ya myahudi, Vaislay, masai dada, Khantwe, ICHANA na badbeybei

He he he umunikumbush hyo rafki yangu chuo ud.siku kaja mtu ana mhook up na mdau,anaambiwa ana helaa,mtulivuu,hana longolongo wala papara,msomii etc etc jaman shost akajitosaa kufka huyo mdau mwenyewe andunjee nyamaza!,anamuishia shost kiunoni mwehh ikabid ajikaze anakazia maslah tuu,kwenda kumtoa kaishia udasa!!babuu level 8 baadae au?anajilamba lamba,basi shost akajikausha maybe ndo aliambiwa hana papara ngja nisubiri,hapo kachagua seat ya ufichonii wambea wasimuone yupo na andunje aibu bt maslah anayataka,sasa aliachwa hoii pale alipikimbiwa na bili ya savanna 3 tuu hoii!andunje mbioo yaan alilipa bili then akamvizia kesho yake class cz hatukujua ata anapokaa,kuchungza kumbe anachukua linguistic jaman tna kilazaa..uwii shosti alikasirikaa alimchamba mkaka anauliza kosa langu kubwa lipi?anajibiwa uandunje bila fidia umeniabisha miee yaan tulifanya kumuhurumia hyo mkaka tukamzoa shost asiendelee. Jaman everlank unabahati Wa kwako Mtu poa tna una bahat ukimpata gubegube afu andunje inaumaaa..bora tall tamvumilia kdogoo
 
Last edited by a moderator:
Mwwnzangu ni bahati tuu manake Hawa ma tall dudes nao wana viminato flan mhh balaa,mi kibahati tuu manake watu walishanitabiria kutoolewa Kwa swags hzo,ningemkosa ingebidi haswaa nivute mpaka karibia menopause ndo nisalim amri,omba Mungu unaeza kumpata wapo

hhahahha tuombeane mamaa
 
Masters ya ECONOMICS , EPIDEMIOLOGY au LAW vinanimaliza kabisaaaaaaaaaa! Afu Emolo alikuwa na ya ECONOMICS! Daaaaaaaaah!

Hii ya Epidemiology alikuwaga nayo mtu flani hivi alitoka nayo London School Of Tropical Medicines, Mganda, alikuja kwenye mradiflani wa malaria ambao ndugu yangu flani alikuwa ndo anausimamia! The dude had the charm! Ndo akaniambia anayo hio mimi na my sis ambae alikuja kuwa Dr. (Md), tulitoa mijichoo na alivo hb! Alitu inspire mno mno na kututia hamu ya hio Epidemiology! Sema nothin happened akaondokaga! My sis alifanya juu chini kati kati akapata nae scholarship ya kwenda London School kuichukua! Mbishi yuleeeee! Kama shipa! Siku hizi kila akijitambulisha lazima aitaje na alikoipata!

hahahaha chezea kuipata nikazi sanaaa
 
Stori zako zinaonyesha umetumika sana...inaelekea hata papuchi imechoka kiasi kwamba ikipigwa utasikia inalalamika "nakoPWA nakoPWA nakoPWA nakoPWA nakoPWAA..."
 
Stori zako zinaonyesha umetumika sana...inaelekea hata papuchi imechoka kiasi kwamba ikipigwa utasikia inalalamika "nakoPWA nakoPWA nakoPWA nakoPWA nakoPWAA..."
Eeeeeh HADI BABA YAKO MZAZI ALINIYUMIA SI MLIKUWA MNA SHARE NA MNAJUANA? SEMA NA HAYO MBONA UNAYA MINYIA.? Kabbla hujaenda kuolewa na MWARABU NA MWENZIO NA MPEMBA!
 
hahahaaaaaa nitakuletea kadi uje uhakiki... Dinazarde huyu hanipi shida...utabiri fek,kama mchungaji aliyetabiri wasanii 20 watakufa june na wasife...

Nakuambiaa hivii anaekuoaaa humjuiii funga bakulii lakoo
 
Last edited by a moderator:
Emolos juuuuuuuuuu !!! Halafu wewe Vaislay usitukane wakunga na uzazi ungalipo!! muke ya muyahudi anawapoteza mwenzenu kamiliki full Dinazarde kesha kutabiria angalia tusijekimbiana humu,omba tu best hubby awe from God whatever the case utainjoi life!!!

Oooo binadamu hua tunapangaa hivii lakini mambo yanaenda kinyumeee, unakua na mpenzii unajiaminisha huyu ndio atanioaa lakini mwisho wa siku anaekuoa mwinginee na unampenda kuzid lile chaguo lako (ANAEKUOA HUMJUI )
 
Last edited by a moderator:
inaonekana umepitia mengi mkuu...kuna binti nilikua napiga ana tabia kama za kwako siku tulivyotibuana akantolea mbovu et ohooo hauwezi kunitunza tuachane...SIKU IYO NILIKUWA NIME PANIC JIBU NILILO MPA NI HILI..."kama wazazi wako wameshindwa kukutunza me ntaweza?"

hili jibu lilimfanya ashindwe toka kitandani week nzima...DAAH HASIRA MBAYA ASEEE I M VERY SOORY MWANADADA WHERE U RE...
 
Back
Top Bottom