lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,208
- Thread starter
- #341
Hahahaaaa! Hio kawaida UNAIONA WEWE! Lupita Nyongo walikuwa wanamuona CHAUSIKU aka CHEUSI MANGALA, Alek Wek walikua wanamuona ngongoti cheusi mangala nae! Ila saivi waambiwa ni WORLDS MOST BEAUTIFUL PEOPLE! Upo hapo! Hilo la mvuto na ukawadia ni la MWANAUME HUSIKA KUAMUA! Ndo maana wanasema RINGIA BAHATI, USIRINGIE UDHURI! Maana beauty is in the eyes of an observer! Observer perception ndo ina vary lakini reality ni constant.Hapana mkuu kuna watu ni selective sana lakini ukikutana nao hata hawavutii kivile kawaida