Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
Ni kweli ila Mimi kimo kwanza..yaan ukiwa andunje ata uwe na Mabilion in short hela uwa hazinirushi akili saana as long as simuhongi Mimi,ana ki CPA angalau walaah hela znataftwa kama mwanaume fighter atazpata na mie sina dhiki saana so hatukufi njaa,starehe ndogo ndogo hazinipigi aah I never envy to own a world bank,tna skihiz tuu nimekua kua siropoki zaman jaman mbaya Mimi!andunje akinitongza nalia sku nzma kanionaje..hehehe it ws bad jamani msiniseme nimeacha ila sipendag ata wanitongze nashukuru I ended up with a tall one..6.2 feet alhamdululaah hela haikuwa priority kivlee ilikuja tuu by chance maana wenye hela zaidi hawaishi afu hela znataftwa ilimrad awe na vgezo vya kuzipata but urefu mhhh tausakaje jamanii..Mara mimba imeingia kucha kuwaza toto atatokaje aahh mvuto muhmuuu
umenichekesha andunje akikutongoza unalia kisa????
Last edited by a moderator: