He is dangerously stupid

He is dangerously stupid

This has nothing to do with the Sukumas and everything to do with some country bumpkins.

The Sukuma have produced people with illustrious careers, such as David Kidaha Makwaia, Paul Bomani, Justice Francis Nyalali, Andrew Shija, just to name a few.

Stop tribalism.
Huyu Nyalali ndiye aliyefuta masheria ya kidikteta ya Nyerere baada ya inclusion of bill of rights kwenye katiba mwaka 1984!

Alikuwa jaji mwanaharakati wa haki za binadamu!
 
In my book he is 'canceled'. He should be in yours, too.

Why is that? You may ask. Well, the answer is very simple: because he is dangerously stupid. It's one thing being stupid. Being dangerously stupid is on a whole ‘nother level. Be wary of someone with power, no matter how little, who is also that stupid. He is that and also incredibly ignorant.

The guy hardly makes any sense. He blunders almost everything he gets his hands on. Yesterday he let out his latest 'hit'. You all know what that is. Imagine this; with the little power that he [thinks] has, look at how he has behaved since he became Governor of the great state of Dar-es-Salaam. He has behaved like a lunatic. He has abused power in plain sight.

He has done everything that if it were someone else, he'd have been canned eons ago. Why to this day he is still the governor is the question that boggles my mind. What does he have to do in order to be let go? Shoot someone dead in the middle of Askari Monument?

I believe most right thinking citizens have the same questions I have. The whole thing is just weird. There seems to be a strange propinquity between him and his boss. Him and his boss are probably surrounded by a bunch of mealy-mouthed sycophants who are embarrassingly obsequious.

Shameful.
USA babe!
🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
 
This has nothing to do with the Sukumas and everything to do with some country bumpkins.

The Sukuma have produced people with illustrious careers, such as David Kidaha Makwaia, Paul Bomani, Justice Francis Nyalali, Andrew Shija, just to name a few.

Stop tribalism.
We've also produced John Joseph Pombe Magufuli.
 
Mtoto aleavyo ndivyo akuavyo...

Kama baba anamuachia afanye chochote, hayo ndiyo madhara yake...


Cc: mahondaw
 
Have I ever denied that?
You have what quantum physicist call "wave particle duality".

You exhibit characteristics of Heisenberg's Uncertainty Principle.

The way you staunchly vouch for this megalomaniac, some less sophisticated ones are bound to see nefarious motives.
 
Imekuwa hamkani si swari tena?
Mimi najikita kwenye signature yako hii "Maajabu ya Kenge, anakimbia mvua anaingia mtoni"
---
Kenge ana akili, anajua mvua haieleweki...inaweza kunyesha mvua yenye mabonge ya barafu, Al maarufu mvua ya mawe. Mvua hii ikimkuta Kenge nchi kavu ainaweza kumuumiza sana, hivyo ili Kenge ajihadhari na balaa hili anakimbilia majini...just in case!!! Akiwa kwenye maji mvua hiyo ya mawe haitamuumiza.
Kenge atakuwa mwenda wazimu kama atakimbilia kwenye dimbwi la kina kifupi!!!
===
Kwenye mada iliyoko mezani(msijali sana uumbaji wa maneno ya kizungu jali msingi wa hoja yangu)

---
I always become enstranged , by many of you, the way you handle some issues related to some comissioners of our time today. The comissioner together with his colleagues whenever they stumble on running some stuff, most of you, jump to the bandwagon of "demoting, chasing, shuffling, stripping off all powers they have, locking them up and the likes" while targeting our comissioners of our time. Among of you, no one is interested to coach, mentor, guide and lead in a best manner, these commissioners so that they may attain the needed standard you prefer!!! Always you are after for the worst regarding these commissioners, Why!!? Jealous?, oh no!

IF my memory serves me right, one skilful and intelligent gentleman a number of months ago raised the very useful idea of promoting mentoring some young commissioners so that they can deliver as per standard. No one supported the idea, instead threats trended towards him from most of you with a trademark of " you have touched untouchables, you will see". The gentleman muted !!! I have not heard from him cherishing his idea of schooling the commissioners!!! You frightened him with your trending threats, I guess, simply because you are after the commissioners "worst matters", which are fare to your above mentioned bandwagon!!!

My point here is, let us nurture our leaders in a manner, which will help them to perform their duties for bestification of our country prosperity instead of frustrating them while waiting them to perform poorly na kisha kuanza kupiga kelele za 'watumbuliwe'.
---
Nadhani nimeeleweka, karibu kwa ukosoaji wa kila namna. Niko tayari kuupokea.
 
You have what quantum physicist call "wave particle duality".

You exhibit characteristics of Heisenberg's Uncertainty Principle.

The way you staunchly vouch for this megalomaniac, some less sophisticated ones are bound to see nefarious motives.

I’m just objective.

I praise and support where and when it’s deserving and I criticize and condemn when and where it’s appropriate and needed.

My record here speaks for itself.
 
Kwa wale tusio jua lugha tafsiri ni hii hapa chini.


Kwenye kitabu changu 'ameghairiwa'.
Anapaswa kuwa wako pia.


Kwanini hivyo?
Unaweza kuuliza.
Kweli, jibu ni rahisi sana: kwa sababu yeye ni mjinga hatari.
Ni jambo moja kuwa mjinga.
Kuwa mjinga hatari iko kwenye kiwango kizima cha 'nother.
Kuwa mwangalifu na mtu mwenye nguvu, haijalishi ni kidogo, ambaye pia ni mjinga.
Yeye ni huyo na pia ni mjinga sana.


Mwanadada hafanyi akili yoyote.
Yeye huchafua karibu kila kitu yeye huweka mikono yake.
Jana aliachia "hit" yake ya hivi karibuni.
Ninyi nyote mnajua hiyo ni nini.
Fikiria hii;
na nguvu kidogo ambayo [anafikiria] anayo, angalia ni jinsi gani amekuwa akifanya kazi tangu alipokuwa Gavana wa jimbo kubwa la Dar-es-salaam.
Amekuwa na tabia kama ya jua.
Ametumia nguvu mbele ya watu wazi.


Amefanya kila kitu kwamba ikiwa ingekuwa mtu mwingine, angekuwa amewekwa makopo zamani.
Kwanini mpaka leo bado mkuu wa mkoa ni swali ambalo linazua akili yangu.
Je! Anapaswa kufanya nini ili aachiliwe?
Risasi mtu aliyekufa katikati ya Askari Monster?


Naamini raia wenye fikra sahihi wana maswali kama haya niliyo nayo.
Jambo lote ni maridadi tu.
Inaonekana kuna usawa wa ajabu kati yake na bosi wake.
Yeye na bosi wake labda wamezungukwa na umati wa watu wenye mitishamba-meyuli ambao hufuata aibu.


Aibu.
 
We've also produced John Joseph Pombe Magufuli.
That Chato oompa loompa and unwashed philistine country bumpkin is the current scrouge for the Sukuma name.

The ghoulish and despicably grotesque spectre of totalitarianism permeates that land between lakes largely due to the whims and idiosyncracies of this usurping court jester turned Caligula.
 
Morinyo akiwa kocha wa Chelsea aliwai kusema enzi za Alex kocha wa Man Utd kua ili mwamuzi wa mpira atoe kadi nyekundu uwanja wa Old tranford ni mpaka mchezaji wa Man U wenda amchome mwenzie na kisu. Tofauti na hapo kadi nyekundi haiyolewi.
Leo unasema.wenda Mkuu wa Dar ampige mtu risasi mbele ya alaiki pale askari. Yaani mkuu wa nchi anamnyenyekea mkuu wa mkoa.
Mh Rais aliniuzunisha sana ile siku anamwomba mkuu wa mkoa alipe kodi zile za makontena na bado kodi hazikulipwa...ipo siku atampindua kama Amin na Obote; sisi tunashauri na kukaa pembeni.
 
I’m just objective.

I praise and support where and when it’s deserving and I criticize and condemn when and where it’s appropriate and needed.

My record here speaks for itself.
Your objectivity appears to be disjointed and non-comprehensive.

Magufuli has no guiding principle, how could you be objective in a comprehensive way in assesing his performance?

He is what Dr. Wolfgang Pauli used to call "not even wrong". He is less than wrong, he does not even know where he is going, much less how to get there.

Nyerere was wrong in some aspects, but at least he knew where he wanted to go, and how to get there according to his cohesive philosophy. One has a fair chance of assesing Nyerere in an objective and comprehensive manner.

How does one asses this current yo-yo in any objective and comprehensive manner?

He is fighting corruption and at the same time advocating for an extra judiciary bribe for traffic police.

Does he know what he wants or is he just making shyt up as he goes?
 
Back
Top Bottom