mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
hizi ndo swaga za askari mmoja anatongoza kwenye simu yaani mpaka unacheka
haroo wewe hebu kuja haraka unajua nakuthamini sana kama rushwa bila wewe siwezi kuishi ni sawa na kukosa bunduki eneo la tukio nitakuheshimu kama ninavyoheshimu lindo wewe si ndio C-R-O wa moyo wangu....mbona upo kimya nijib bas nipate kufungua jalada ndani ya moyo wako usinifanye moyo ukaenda mbio kama difenda ntakuweka salama kama msafara wa raisi
haroo wewe hebu kuja haraka unajua nakuthamini sana kama rushwa bila wewe siwezi kuishi ni sawa na kukosa bunduki eneo la tukio nitakuheshimu kama ninavyoheshimu lindo wewe si ndio C-R-O wa moyo wangu....mbona upo kimya nijib bas nipate kufungua jalada ndani ya moyo wako usinifanye moyo ukaenda mbio kama difenda ntakuweka salama kama msafara wa raisi