Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa huwa nakuhusudu sana lakini leo nisamehe tu , eti umesema kaka zako wa kiume? mmmhDraft.... Huu mchezo niliucheza sana na kaka zangu wa kiume huku nimevaa big Mac ya kikaptura.....
Utoto raha sana, saa hizi inabidi nifundishwe tena ndo niweze kuucheza.
Ingawa huwa nakuhusudu sana lakini leo nisamehe tu , eti umesema kaka zako wa kiume? mmmh
Akisogea hapo ametoa draw.Sogea hapo umalize game.
View attachment 976549
Hapo anatoa droo Kama hiviSogea hapo umalize game.
View attachment 976549
Ukicheza hivyo nimeshinda.Hapo anatoa droo Kama hiviView attachment 976833
Akh wapi yaani hapo unacheza king na kete zako mbili. Moja hapo haitembei coz itabanwa na yangu moja huko kwenye Kona.Ukicheza hivyo nimeshinda.
Akh wapi yaani hapo unacheza king na kete zako mbili. Moja hapo haitembei coz itabanwa na yangu moja huko kwenye Kona.
Sawa kabisa nimeeelewa. Nilikuwa nakukwarua tuIt happens sometimes, mind iko fast kuelezea ambacho vidole inatakiwa kuandika. It happens vidole vinasahau baadhi ya maneno na kuacha lugha kuwa gongana.