BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,046
- Thread starter
- #41
Well, chagua movie yoyote chagua yenye 1080p na hakikisha pale mbele kuna 5.1 kwenye tittle ya movie. na mara nyingi ukubwa wake huwa unaanzia 2gb pia hqkikisha movie ni ya action au vita ili uinjoy sound vizuri
Pia kwenye zile surruound spika zako hakikisha umeziweka nyuma, mwisho wa sebule yan ww ukikaa uwe kati
see picture
View attachment 1655026
Nmekusoma shukran sana tajir