kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Miradi mingi ya wizara na idara za serikali imesimama au kusuasua kwa kukosekana fedha ambazo zimepitishwa na bunge au kuahidiwa na Mhe. Rais.
Viongozi wa kisiasa wanapotembelea miradi hii nakuambia hazina awajatoa fedha utosikia wakiwakoromea hazina badala yake watamgombeza mkuu wa Idara na mkandarasi.
Ni rahisi sana mkandarasi kunyimwa kazi nakuelekezwa achunguzwe huku ukweli ukibaki kuwa fedha hazijatolewa na hazina. Wakuu wa Idara na wizara wameng'olewa kwa sababu tu hazina awatoi pesa.
Ukienda kwenye riport ya CAG na kamati za Bunge hazina wanalalamikiwa kutokutoa fedha kwa wakati au wakati mwingine kutoa mwisho wa mwaka kisha kufunga mwaka nakurejeshewa fedha hizo.
Je, hazina Kuna watendaji wenye ngozi na mioyo tofauti na watumishi wengine?
Kwanini tusianze kushughulikia hazina kabla yakuondoa watendaji wasio na hatia?
Viongozi wa kisiasa wanapotembelea miradi hii nakuambia hazina awajatoa fedha utosikia wakiwakoromea hazina badala yake watamgombeza mkuu wa Idara na mkandarasi.
Ni rahisi sana mkandarasi kunyimwa kazi nakuelekezwa achunguzwe huku ukweli ukibaki kuwa fedha hazijatolewa na hazina. Wakuu wa Idara na wizara wameng'olewa kwa sababu tu hazina awatoi pesa.
Ukienda kwenye riport ya CAG na kamati za Bunge hazina wanalalamikiwa kutokutoa fedha kwa wakati au wakati mwingine kutoa mwisho wa mwaka kisha kufunga mwaka nakurejeshewa fedha hizo.
Je, hazina Kuna watendaji wenye ngozi na mioyo tofauti na watumishi wengine?
Kwanini tusianze kushughulikia hazina kabla yakuondoa watendaji wasio na hatia?