Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona


This man is true Hero of Africa
Not Pumbavu Mfu yule
 
Leo nakufundisha mdogo wangu, ukiona mtu anamtaja taja sana Mungu ndo ukae nae kwa makini sana wengi wao huwaga wanafiki.

Cha pili cha kujifunza CAG hatoi ripoti kama hajakuhoji na kujiridhisha na maelezo yako na huwasilisha kila kitu hivo mpaka ukiona mtu yupo hapo juu alishaulizwa lakini hakutoa maelezo yanayostahili moja ni juu ya hizo fedha na pili juu ya mchakato. (Funga katiba ibara ya 143 na 144).

Kasemaje kuhusu TANRODS na sikia alishakuwa mhasibu mkuu kipindi cha nyuma. Au hili ni moja ya yale aliohepa kukagua kwa raslimali chache.
 
Ametuachia deni la Trillioni 18 katika kipindi chake cha miaka 5 tu. Hili pia linapaswa lilipwe.
Ni ndogo sana ukilinganisha na miradi tuliyonayo kama taifa... Walau deni tunaliona limetokana na nini .. sio yale madeni hewa with no justfication.
 
Bado hujatoka chumbani kwako? Ile report ya cag imevuruga kila kitu Cha magu na kila mwananchi mwenye akili timamu na mzalendo amemdiss Sana magu kwa kuwaaminisha vingine na kutenda tofauti! Toka nje uingie kitaa uwasikie wanazengo!
Kumzika marehemu ni rahisi lkn kuzika kitabu chake ipo kazi
 
Nimetafakari maneno
Anae enda kuiua Ccm ni Magufuli
Ukweli umetimia
2025 Watanzania wataonyeshwa kipi kitakachokuwa kiekamilika katika vyote alivyo vianzisha?

Ccm kazi kubwa hiyo
 
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea
Lamsingi bila Magufuli hata Ndugai asingepata ubunge
 
Zama za kutokukusanya Kodi zaja. Zile zama za kukimbizana Na chingaz street mpaka street
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Jiwe alikuwa Mpigaji sana
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Wazomeee lakini maendeleo yaonekane kwa vitendo. Vinginevyo kweli wataipata ndani ya miezi 6 tu. Hawatakuwa na la kusema na so far wanaponda yaliyomokwenye ilani yao!
 
Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake

Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.

Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai

Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge

Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Watazomea wana kijiji??,. Hao hawatupi shida kabisaa! Dawa yao ndogo sana.

Tz manake ni Dar tu labda na Arusha. Inajijenga yenyeweee taatibuuu!! Kabisa.

Huyu aliiba mapato ya Dar akajenga huko aliko jenga tukamuwahi kumzima.

Sasa hivi tuna deal na Marais wa mjini tu. Sasa tumekoma Hatutateua tena Rais wana vijiji ni mzigo kwa Dar yetu.na wana Dar.

wakulima hawana jeuri ya kuzomea Rais Born town wewe!! Kwanza walivo wajinga wakipanga tu! Tumeshajua

Ni kuwashushia ka defender ka moja tu! Ka Maaskari wa kike, waliotoka depo uone km hawatajiharishia.

Tena kuwakomoa hiyo kazi tunawapa askari Watoto wao na mademu zao.tuliowafundisha sisi.

Kwa taarifa yako hiyo miradi aliiyoanzisha haita jiendesha ni hasara. Kwa nini isife???

Midege mikubwa iende wapi!! Kenya wanayo
Rwanda
Burundi
Uganda
Wote hawa wanataka abiria wa nje walete Dola watoke wapi..???

Wabongo kula yenu tu shida .. hela za kupanda hii makitu mtatoa wapi??
mna akili kweli??
 
He is not being attacked,mfalme amevuliwa nguo,wananchi wamefunguliwa masikio na macho yao waweze kuona na kusikia yaliyokuwa nyuma ya pazia.

Mzee Magufuli alibana uhuru wa media kuripoti habari za uchunguzi,uhuru wa watu kujadilia mada hasi za utendaji wa wake na serikali yake. Mzee amekufa na suddenly tumepata uhuru wa kusikia kuona na kujadili taka ambazo zilifunikwa na sheria kandamizi za habari.
Never a point domo-cracy gave a wealth. Time will put all this matters to light, either negatively or otherwise.
 
Ripoti ya CAG inafikirisha Sana. Ukiangalia kwa jicho pana Ina lengo la kuharibu legacy ya Hayati JPM. Imagine mtu anakuambia stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli itasababisha zaidi foleni. Kwa maneno mengine, Bora tungebaki Ubungo walau Folen ingepungua.
Anyway, Tanzania ni yetu sote Hakuna atakayeiharibu akabaki salama.
Huyo jamaa hafai hata kuitwa Hayati, kaharibu sana hiyo nchi
 
Back
Top Bottom