Leo nakufundisha mdogo wangu, ukiona mtu anamtaja taja sana Mungu ndo ukae nae kwa makini sana wengi wao huwaga wanafiki.
Cha pili cha kujifunza CAG hatoi ripoti kama hajakuhoji na kujiridhisha na maelezo yako na huwasilisha kila kitu hivo mpaka ukiona mtu yupo hapo juu alishaulizwa lakini hakutoa maelezo yanayostahili moja ni juu ya hizo fedha na pili juu ya mchakato. (Funga katiba ibara ya 143 na 144).
Ni ndogo sana ukilinganisha na miradi tuliyonayo kama taifa... Walau deni tunaliona limetokana na nini .. sio yale madeni hewa with no justfication.Ametuachia deni la Trillioni 18 katika kipindi chake cha miaka 5 tu. Hili pia linapaswa lilipwe.
Kumzika marehemu ni rahisi lkn kuzika kitabu chake ipo kaziBado hujatoka chumbani kwako? Ile report ya cag imevuruga kila kitu Cha magu na kila mwananchi mwenye akili timamu na mzalendo amemdiss Sana magu kwa kuwaaminisha vingine na kutenda tofauti! Toka nje uingie kitaa uwasikie wanazengo!
Lamsingi bila Magufuli hata Ndugai asingepata ubungeMarehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea
Hii ndiyo itakuwa agenda ya wapinzani wa kweliNimetafakari maneno
Anae enda kuiua Ccm ni Magufuli
Ukweli umetimia
2025 Watanzania wataonyeshwa kipi kitakachokuwa kiekamilika katika vyote alivyo vianzisha?
Ccm kazi kubwa hiyo
hata kazi ya CAG huijui. anakagua mahesabu ya mapato na matumizi ya taasisi za serikali. hizo taasisi ndio zinampelekea taarifa ya status za mashirika yao na mali zao.Basi uliza kwann CAG anakagua ndege wakati yeye sio injinia?
Kasemaje kuhusu TANRODS na sikia alishakuwa mhasibu mkuu kipindi cha nyuma. Au hili ni moja ya yale aliohepa kukagua kwa raslimali chache.
Jiwe alikuwa Mpigaji sanaSpidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Wazomeee lakini maendeleo yaonekane kwa vitendo. Vinginevyo kweli wataipata ndani ya miezi 6 tu. Hawatakuwa na la kusema na so far wanaponda yaliyomokwenye ilani yao!Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Dah! Hiki kitabu nilikisoma longtime ago, dah dogo alimuumbua mfalme.
Watazomea wana kijiji??,. Hao hawatupi shida kabisaa! Dawa yao ndogo sana.Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Never a point domo-cracy gave a wealth. Time will put all this matters to light, either negatively or otherwise.He is not being attacked,mfalme amevuliwa nguo,wananchi wamefunguliwa masikio na macho yao waweze kuona na kusikia yaliyokuwa nyuma ya pazia.
Mzee Magufuli alibana uhuru wa media kuripoti habari za uchunguzi,uhuru wa watu kujadilia mada hasi za utendaji wa wake na serikali yake. Mzee amekufa na suddenly tumepata uhuru wa kusikia kuona na kujadili taka ambazo zilifunikwa na sheria kandamizi za habari.
Huyo jamaa hafai hata kuitwa Hayati, kaharibu sana hiyo nchiRipoti ya CAG inafikirisha Sana. Ukiangalia kwa jicho pana Ina lengo la kuharibu legacy ya Hayati JPM. Imagine mtu anakuambia stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli itasababisha zaidi foleni. Kwa maneno mengine, Bora tungebaki Ubungo walau Folen ingepungua.
Anyway, Tanzania ni yetu sote Hakuna atakayeiharibu akabaki salama.
Tunamsema mpaka afufuke
Mwana-kusepazake?!Huyo jamaa hafai hata kuitwa Hayati, kaharibu sana hiyo nchi