Hayati Magufuli aliwezaje kutunyamazisha Watanzania milioni 60?

Jiwe ni
JINGA LILE liliona hii dunia Kama nyumba yake vile,wakati sisi wenzake tumo humohumo Duniani tunajua hii dunia sio kwetu ila ni meli inayotusafirisha tu ,ABIRIA tunaojitambua kwenye hii safari tarehe 17032021 tukaSEMA Ili tufike salama 102025 lazima wengine washuke humu,ndipo tukaamua kumwomba nahodha wa meli msaada shusha hapo CHATO
 
Jiwe ni
JINGA LILE liliona hii dunia Kama nyumba yake vile,wakati sisi wenzake tumo humohumo Duniani tunajua hii dunia sio kwetu ila ni meli inayotusafirisha tu ,ABIRIA tunaojitambua kwenye hii safari tarehe 17032021 tukaSEMA Ili tufike salama 102025 lazima wengine washuke humu,ndipo tukaamua kumwomba nahodha wa meli msaada shusha hapo CHATO
Kumbe Bado Hujasikia Vilio vya watu waliokuwa wanatamani Angebaki huyo unayemsema
 
Ila kwa miaka mitano tuliufyata kama misukule hata angesema kulala saa mbili tungelala
Sioni shida kama ingemaanisha kwa faida ya wote...Ipi bora? Upewe uhuru huku maisha ya umasikini yakikufunga au ubanwe ili maisha bora yakufungue kamba za umasikini?
Kupanga ni kuchagua; kwangu mimi kama sionewi na mwajiriwa yeyote yule wa umma na private, kama napata huduma za kijamii na kama nikisumbuliwa yupo wa kunilinda basi huo u dikteta kwangu ni mzuri...Wengi tunaowaita ma dikteta ni branding tu ya westerns hakuna zaidi ya hicho...
 
Mi nazan Nay wa Mitego ndo mwanaume pekee ambae aliendelea kukoroma,wengine tuliufyata,Tundu Lissu alikimbia
 
Tatizo linakuja pale ambao wasanii wale wale ambao walikuwa wanamwita Mungu ndiyo wale wale wanaotuaminisha alikiwa dikteta...Ni popo hao mchana mnyama usiku ndege
 
Jiwe ni
JINGA LILE liliona hii dunia Kama nyumba yake vile,wakati sisi wenzake tumo humohumo Duniani tunajua hii dunia sio kwetu ila ni meli inayotusafirisha tu ,ABIRIA tunaojitambua kwenye hii safari tarehe 17032021 tukaSEMA Ili tufike salama 102025 lazima wengine washuke humu,ndipo tukaamua kumwomba nahodha wa meli msaada shusha hapo CHATO
TRASH YAANI TAKA TAKA.
 
Ridhiwani Kikwete aliwahi kuhojiwa na Millard Ayo kuhusu mzee wake JK alipokuwa madarakani na alikuwa anatukanwa na kuchorwa vibaya yeye alikuwa anaichukuliaje??

Riz alisema ukweli ni kwamba ilikuwa inamkera sana kiasi ya kwamba alienda kumhoji mzee wake kwa nini anawaacha watu wanamkejeli na kumdhalilisha namna Ile na kwa nini hawashughulikii?

Mzee Kikwete alimwambia kwamba laiti angejua madaraka na nguvu aliyonayo Rais na akiamua kuyatumia basi hakuna atakayekuwa salama hata kidogo. Alimaanisha kwamba ana nguvu kubwa sana yeye kama Rais Ila wacha tu watu wamdhihaki sababu mtu anayeweza kumshika sharubu Simba hakika hajui Simba anaweza kumfanya kitu gani ndani ya sekunde moja tu.

Sasa Magufuli alikuwa ana ambition kubwa ya kuongoza nchi kwa kupeleka mambo haraka na the way anavyotaka, alipokuja kugundua hayo madaraka na nguvu aliyonayo akatamani kuzitumia na akaona namna watu wanavyotetemeka akipita sehemu akatamani atumie hizo nguvu kupeleka Mambo yaende.

Akazima bunge, Mahakama, waandishi au vyombo vya habari, akafumua mfumo wa utumishi wa umma, Yani akavuruga kila anachotaka hii sasa ilitokana na kujua kwamba Rais anaweza kufanya chochote.

Kwa nguvu hiyohiyo akageuka kuabudiwa sababu walitaka wale pesa yake waligundua ili waweze kula lazima wamsifie na kumhonga cheo Cha Mungu, wengine Kama sheikh Alhad wa Dar alisema Magufuli ni zaidi ya Yesu na jamaa likawa linaenjoy sana vile vyeo.

Mwishowe akalewa ule ukuu akataka atukuzwe maana walishamzoesha kumtukuza Hadi makanisani, viongozi wa dini karibu wote walimtukuza na aliyejaribu kumkosoa aliipata kisawasawa. Na pale ndipo kila aliyemkosoa alikuwa anapotezwa maana aliona yeye hawezi kukosolewa na hakutaka kukosolewa maana alishalewa ushamba wa madaraka.

Utaona kile kikosi kilichoundwa na Makonda kikiwa na jukumu la kutesa na kuua wote waliompinga na kumkosoa Magufuli kilianzishwa kwa usiri sana na kutekelezwa ushenzi mkubwa mno.

Kwa namna Ile hakuna ambaye angeweza kujitetea mbele yake ndio maana hakuwa anasikiliza hoja ya mtu yeyote akija anataka yeye aongee na mtekeleze whether you like it or not.

Hii ndio ilipelekea Hadi akataka aongoze milele lakini Mungu wa Watanzania ni Mungu wa Kweli, mnamo tarehe 17/3/2021 historia ikaanza kuandikwa upya baada ya kumpatia kifo yule fedhuli.

Sasa ukiangalia history ya madikteta wote Kama Hitler, Stalin, Pinnochet akina Mobutu, Idd Amin, Bokasa nk walikuwa na style ya kutengeneza watu wanaowapraise na wale waliowapraise waliishi vizuri sana .

Hiyo ilikuwa lazima wawepo ili waweze kusurvive kiunafiki sababu Hawa madikteta walijua kabisa hawakubaliki na hawapendwi nje na ndani ya nchi zao. Na ndio maana wanafanana kila kitu mfano, hawakusafiri nje ya nchi zao hovyo, hawakuruhusu mtu aripoti mambo ya nchini kwao na waliruhusu ripoti zinazowasifia na kuonyesha mambo ni shwari sana, nk.

Magufuli was one hell of the dictator ukifuatilia tabia za madikteta.
Kwenye kuvuruga utumishi wa umma sijui hiyo wound itaponywa lini japo vurugaji ulianza tangu awamu ya nne, ila ukakaziwa awamu ya tano....

Awamu ya tatu iliweka mifumo ya governance including policies japo muanzilishi i.e WB na IMF alikuwa na malengo na matarajio yake, but atleast aliweka hizo frames....Sasa awamu ya nne wakaanza taratibu kuvuruga then awamu ya tano ikawa even worse mpaka ukakuta mtu hata asiye na seniority anaongoza seniors...
 
Sioni shida kama ingemaanisha kwa faida ya wote...Ipi bora? Upewe uhuru huku maisha ya umasikini yakikufunga au ubanwe ili maisha bora yakufungue kamba za umasikini?
Kupanga ni kuchagua; kwangu mimi kama sionewi na mwajiriwa yeyote yule wa umma na private, kama napata huduma za kijamii na kama nikisumbuliwa yupo wa kunilinda basi huo u dikteta kwangu ni mzuri...Wengi tunaowaita ma dikteta ni branding tu ya westerns hakuna zaidi ya hicho...
Hakuna u Dictator mzuri duniani.
Ni wazee wa propaganda na waliojificha kwenye uzalendo uchwara .
 
Ni haki yako, ila kwakuni nyang'anya yangu mbona hata wewe unafanya dictation hapa?
Sikunyanganyi.

Dictator yupi alifanya mambo mazuri endelevu. Mtaje !

Madictator wote ulimwenguni , kwa kujificha kwe uzalendo wa kinafiki . Walitenda lakini mwisho wao haukuwa mzuri wala endelevu kwa kizazi kilichofuata.
 
Sikunyanganyi.

Dictator yupi alifanya mambo mazuri endelevu. Mtaje !

Madictator wote ulimwenguni , kwa kujificha kwe uzalendo wa kinafiki . Walitenda lakini mwisho wao haukuwa mzuri wala endelevu kwa kizazi kilichofuata.
Thread imemtaja Kagame, nchi yake unaiona inavyokata mawinbi ya maendeleo?
 
Hayawezi kuwa endelevu.

Hawezi kufanya hata nusu ya alioyafanya Col Gaddafi, leo yako wapi ?!
Kwahiyo wewe unataka tuwasikilize westerns na majina yao hayo? Huoni kwamba wanawapa hayo majina na ili uamini ndivyo hao hao ndiyo wanatimiza hayo ya kuvuruga efforts za hao watu?

Mandela pia aliitwa gaidi je ni kweli?

Every story has two sides learn to develop your own third story after hearing from both sides
 
Thread imemtaja Kagame, nchi yake unaiona inavyokata mawinbi ya maendeleo?
Mr/Mrs Ame nchi zote duniani zilizofanya maendeleo endelevu , ni zile zinazoongozwa ki democracy. eg Australia, Japan, Sweden, South Korea etc . Lakini nchi za ki dictator zinajivunia nini, zaidi ya kuua raia wao kisa hawamuabudu kiongozi au chama tawala ?
 
Thread imemtaja Kagame, nchi yake unaiona inavyokata mawinbi ya maendeleo?
Mr/Mrs Ame nchi zote duniani zilizofanya maendeleo endelevu , ni zile zinazoongozwa ki democracy. eg Australia, Japan, Sweden, South Korea etc . Lakini nchi za ki dictator zinajivunia nini, zaidi ya kuua raia wao kisa hawamuabudu kiongozi au chama tawala ?
 
Back
Top Bottom