mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,299
- 36,728
Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.