Kwa hiyo na yeye kapotezwa hivyo ngoma droo.Kwani Kuna Ubaya ukimpoteza Mmoja ili wengi waishi vyema
Kwa hiyo na yeye kapotezwa hivyo ngoma droo.Kwani Kuna Ubaya ukimpoteza Mmoja ili wengi waishi vyema
Mnamsifia mtu aliyenuka Damu za watu.Ila kwa miaka mitano tuliufyata kama misukule hata angesema kulala saa mbili tungelala
Baada ya nini? Na akunyamaza. Mwenda Ni Mnuka Damu za watu.Tundu Lisu aliufyata na kukimbia nchi mazima
viroba vilitumika. aka vipishori kwa Sisi watu WA Tanga aka visaflet.Tangu nikiwa mdogo nilipenda kufuatilia visa vya viongozi waliotawala kwa mkono wa chuma kama vile Stalin, Mussolini, Lenin, Hitler, Suharto, Iddi Amin, Mobutu, Kagame, Bokassa na wengineo.
Nikawa najiuliza hawa wababe waliwezaje kuwanyamazisha wananchi wao kirahisi wasipate watu wa kuwapinga?
Hata nikadhani labda wananchi wao ni mazezeta.
Ila alichotufanya bwana yule nilikuja kuelewa somo kwa vitendo, nilipenda sana story za hawa wababe ila ghafla nilijikuta nabadili mtazamo wangu.
Kiukweli kabisa watanzania wote tuliufyata kasoro mtu mmoja tu Tundu Lissu nadhani kwa sababu alishaonja kuzimu labda akaona kumbe hakutishi kivile, tuliobaki tukubali tuliufyata mpaka wengine kufikia kumuita Mungu, nikikumbuka nacheka mwenyewe.
My friend mie kwanza sijasoma shule za Magufuli wenu am old enough kutompenda huyo Mungu wenuChuki na marehemu hazitokusaidia....rudi shule memkwa upate cheti halali maisha ya kubumba bumba mzee Magu alishayazika.
hata huyu wa sasa akisema tulale saa mbili tutalala!Ila kwa miaka mitano tuliufyata kama misukule hata angesema kulala saa mbili tungelala