Ndugu zanguni, siku ya mei mosi Mama aliwaaminisha watumishi wa umma kwamba kungekuwa na nyongeza ya mshahara, lakini walichokutana nacho leo, kila mtumishi analilia chumbani kwake, maana hakutegemea kabisa kwamba kusingekuwa na nyongeza hata kidogo.
RIP, Hayati Magufuli Mzalendo wa kweli na msema kweli.
RIP, Hayati Magufuli Mzalendo wa kweli na msema kweli.